IKULU mawasiliano inahitaji data analyst and propagandist, sio mwanahabari otherwise Rais atabadili sana. Mchukueni David Kafulila

Hoja zote hapo juu zifuteni chukueni hii ,ABDULI NA RIDHIWANI ndio wanaofanya biashara Ikulu wakishirikiana na wazazi wao Sasa mzazi mmoja aliweka watu wake na mzazi kiziwi hataki hayo watu Kwa hiyo anachofanya Sasa ni kuwaondoa taratibu wale watu wa msoga kiaina ,fikiria ndani ya mwezi,wiki,siku ni teuzi za vurugu tu, kifupi nchi inaliwa na hizi familia ,naripoti kutoka hapa kibiti .
 
Ushahidi ni Upi?
 
Kafulila nakubaliana na hii hoja👏🏿👏🏿
 
Mwamba atafaa saana
 
Kafulila is the best
 
Kafulila kafulila
 
Kafulila namfahamu kitambo Yuko vizuri sana
 
Reactions: YAY
Yetu ni macho na masikio tu vingine havituhusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…