econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Unapenda kujisifia Sana. Unaelewa maana ya critical?Yes Mkuu Kafulila anahoja sana, ni mtu critical sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapenda kujisifia Sana. Unaelewa maana ya critical?Yes Mkuu Kafulila anahoja sana, ni mtu critical sana
Mkuu ogopa Mungu Mimi sio Kafulila na Sina contact yoyote ya Kafulila but ni mtu muhimu sana kulisaidia TaifaKafulila unajiharibia Sana. Kila saa unajipigia promo humu. Tulia utateuliwa tu.
Achana naye huyo anaropoka tu. Akiambiwa athibitishe wala hawezi kuthibitisha.Mimi sio Kafulila wewe jadili hoja acha maneno maneno
CHADEMA WANAMGWAYA SANA KAFULILA KAMA ATAKUWA MSEMAJI, 🤣🤣🤣View attachment 3010881
===
Msemaji wa IKULU ni mtu muhimu sana kwani ndio mtu wa kwanza kumpaka Rais mafuta mbele ya umma wa Tanzania.
Mkurugenzi wa IKULU Mawasiliano anazungumza badala ya Rais wa nchi hivyo lazima ajue karibu Kila kitu kinachomzunguka Rais Kwa mapana yake.
Kazi ya Mkurugenzi wa IKULU sio kusema tu Rais amekwenda Korea Kwa ziara na kutuma picha NO, Ni zaidi ya hayo.
Mkurugenzi wa IKULU kazi yake ni kuonesha faida ya hiyo ziara kitakwimu , Matumizi na kila faida iliyopatika kitakwimu huku akiwa na rejea mbalimbali za anachokisema.
Msemaji wa IKULU lazima aijue vizuri Tanzania ikiwa ni pamoja na Mila na desturi za Kila kundi,
Msemaji wa IKULU lazima aweze kufanya propaganda vizuri hasa Political Numbers hii hapa lazima aiweze sawa sawa.
Msemaji wa IKULU lazima awe source ya habari nyingi hapa ndani ya nchi na ajue vizuri kuitumia media ya local na internation media.
Msemaji wa IKULU lazima ajifunze kusema uongo Mtakatifu hasa pale anapogundua boss wake kateleza kimatendo au kimaneno.
Msemaji ya IKULU anapashwa kuwa na maarifa zaidi ya Kiuchumi na kisiasa kwani ndio agenda kubwa za Taifa hili.
Huyu David Kafulila pamoja na kwamba sio Msemaji wa IKULU ila anaitetea Serikali kwa kiasi kikubwa
Mtakubaliana na mimi kama kweli tunataka habari za IKULU zipate nguvu mbele ya umma wa Watanzania hakuna namna tutamkwepa Kafulila kwa sasa.
Kwa mtazamo wangu Kafulila ndio kijana pekee asiye Mbunge Wala Waziri anayeweza kuwa Msemaji wa IKULU kwa wakati huu ili kuifanya IKULU kutoka kuwa reporter wa habari mpaka kuwa source wa habari.
Si unajuwa akijimiminia vile vitu vya asili vya iringa.Namcheka johnthebaptist tuko nae hapa miaka yote eti hanijui
Kazi ulizopewa leo umemaliza?Acha utoto wako wewe.
Anafaa kwenye Nini?.Kafulila anafaa kwakweli tukiacha machuki yetu ya Kitanzania
CHADEMA hao hao walimfukuza hawamtaki, CHADEMA inajengwa na wenye moyo na siyo matapeliCHADEMA WANAMGWAYA SANA KAFULILA KAMA ATAKUWA MSEMAJI, 🤣🤣🤣
Isijekuwa wewe ndiye tumbili mwenyewe. Mkuu vile swala la marehemu kupewa teuzi na wewe kuachwa?Naunga mkono asilimia Mia moja.kiukweli Mheshimiwa Kafulila anaweza kuitendea haki sana hiyo nafasi na kuleta taswira mpyaaaa ambayo ikawa kivutio kwa watanzania ndani na nje ya Tanzania. Dunia nzima inaweza ikaifahamu vyema sana Tanzania.na watanzania wanaweza muda wote wakawa Bize kufuatilia na kujuwa kila kitu kinachoendelea Nchini na kumhusu Mheshimiwa Rais.
Anafaa kwenye nini?Kafulila anafaa kwakweli tukiacha machuki yetu ya Kitanzania
Kwenye utapeli akaungane na matapeli wenzakeAnafaa kwenye Nini?.
Hili jitu ni lijinga haswa huwezi kuliteua bora uteua marehemu kama alivyofanya maza maana hana watu wa kuteua na nafasi ipo wazi.Isijekuwa wewe ndiye tumbili mwenyewe. Mkuu vile swala la marehemu kupewa teuzi na wewe kuachwa?
Acha kujikana. Wewe ndio Kafulila acha kujikana.Mimi sio Kafulila wewe jadili hoja acha maneno maneno
Kafulila VEMAView attachment 3010881
===
Msemaji wa IKULU ni mtu muhimu sana kwani ndio mtu wa kwanza kumpaka Rais mafuta mbele ya umma wa Tanzania.
Mkurugenzi wa IKULU Mawasiliano anazungumza badala ya Rais wa nchi hivyo lazima ajue karibu Kila kitu kinachomzunguka Rais Kwa mapana yake.
Kazi ya Mkurugenzi wa IKULU sio kusema tu Rais amekwenda Korea Kwa ziara na kutuma picha NO, Ni zaidi ya hayo.
Mkurugenzi wa IKULU kazi yake ni kuonesha faida ya hiyo ziara kitakwimu , Matumizi na kila faida iliyopatika kitakwimu huku akiwa na rejea mbalimbali za anachokisema.
Msemaji wa IKULU lazima aijue vizuri Tanzania ikiwa ni pamoja na Mila na desturi za Kila kundi,
Msemaji wa IKULU lazima aweze kufanya propaganda vizuri hasa Political Numbers hii hapa lazima aiweze sawa sawa.
Msemaji wa IKULU lazima awe source ya habari nyingi hapa ndani ya nchi na ajue vizuri kuitumia media ya local na internation media.
Msemaji wa IKULU lazima ajifunze kusema uongo Mtakatifu hasa pale anapogundua boss wake kateleza kimatendo au kimaneno.
Msemaji ya IKULU anapashwa kuwa na maarifa zaidi ya Kiuchumi na kisiasa kwani ndio agenda kubwa za Taifa hili.
Huyu David Kafulila pamoja na kwamba sio Msemaji wa IKULU ila anaitetea Serikali kwa kiasi kikubwa
Mtakubaliana na mimi kama kweli tunataka habari za IKULU zipate nguvu mbele ya umma wa Watanzania hakuna namna tutamkwepa Kafulila kwa sasa.
Kwa mtazamo wangu Kafulila ndio kijana pekee asiye Mbunge Wala Waziri anayeweza kuwa Msemaji wa IKULU kwa wakati huu ili kuifanya IKULU kutoka kuwa reporter wa habari mpaka kuwa source wa habari.
Kafulila naunga hoja,wakishindwa wanichukue hata Mimi ,lazima mtu anaweza kujenga hoja na mwenye ujuzi wa mambo mengi ndio itakuwa rahisi kukabiliana na wazushi hasa wa Chadema.View attachment 3010881
===
Msemaji wa IKULU ni mtu muhimu sana kwani ndio mtu wa kwanza kumpaka Rais mafuta mbele ya umma wa Tanzania.
Mkurugenzi wa IKULU Mawasiliano anazungumza badala ya Rais wa nchi hivyo lazima ajue karibu Kila kitu kinachomzunguka Rais Kwa mapana yake.
Kazi ya Mkurugenzi wa IKULU sio kusema tu Rais amekwenda Korea Kwa ziara na kutuma picha NO, Ni zaidi ya hayo.
Mkurugenzi wa IKULU kazi yake ni kuonesha faida ya hiyo ziara kitakwimu , Matumizi na kila faida iliyopatika kitakwimu huku akiwa na rejea mbalimbali za anachokisema.
Msemaji wa IKULU lazima aijue vizuri Tanzania ikiwa ni pamoja na Mila na desturi za Kila kundi,
Msemaji wa IKULU lazima aweze kufanya propaganda vizuri hasa Political Numbers hii hapa lazima aiweze sawa sawa.
Msemaji wa IKULU lazima awe source ya habari nyingi hapa ndani ya nchi na ajue vizuri kuitumia media ya local na internation media.
Msemaji wa IKULU lazima ajifunze kusema uongo Mtakatifu hasa pale anapogundua boss wake kateleza kimatendo au kimaneno.
Msemaji ya IKULU anapashwa kuwa na maarifa zaidi ya Kiuchumi na kisiasa kwani ndio agenda kubwa za Taifa hili.
Huyu David Kafulila pamoja na kwamba sio Msemaji wa IKULU ila anaitetea Serikali kwa kiasi kikubwa
Mtakubaliana na mimi kama kweli tunataka habari za IKULU zipate nguvu mbele ya umma wa Watanzania hakuna namna tutamkwepa Kafulila kwa sasa.
Kwa mtazamo wangu Kafulila ndio kijana pekee asiye Mbunge Wala Waziri anayeweza kuwa Msemaji wa IKULU kwa wakati huu ili kuifanya IKULU kutoka kuwa reporter wa habari mpaka kuwa source wa habari.
Uwe unatumia akili mdogo wangu na siyo kuropoka ropoka hovyo hovyo tu hapa.Hili jitu ni lijinga haswa huwezi kuliteua bora uteua marehemu kama alivyofanya maza maana hana watu wa kuteua na nafasi ipo wazi.
Kwani Kuna ubaya?Umekuja kujipa promo uku JF,ili jina lako liwe kwenye teuzi.
Bure kabisa na hopeless
CHADEMA wakisikia Kafulila Matumbo joto sanaKafulila naunga hoja,walishindwa wanichukue hata Mimi ,lazima mtu anaweza kujenga hoja na mwenye ujuzi wa mambo mengi ndio itakuwa rahisi kukabiliana na wazushi hasa wa Chadema.
Wana habari wengi wao hawana jipya ,kama sio hiyo yupo Deogratius Balile nae anaweza kiasi mambo hayo.