IKULU mawasiliano inahitaji data analyst and propagandist, sio mwanahabari otherwise Rais atabadili sana. Mchukueni David Kafulila

Kafulila unajiharibia Sana. Kila saa unajipigia promo humu. Tulia utateuliwa tu.
Mkuu ogopa Mungu Mimi sio Kafulila na Sina contact yoyote ya Kafulila but ni mtu muhimu sana kulisaidia Taifa
 
CHADEMA WANAMGWAYA SANA KAFULILA KAMA ATAKUWA MSEMAJI, 🤣🤣🤣
 
Isijekuwa wewe ndiye tumbili mwenyewe. Mkuu vile swala la marehemu kupewa teuzi na wewe kuachwa?
 
Kafulila VEMA
 
Kafulila naunga hoja,wakishindwa wanichukue hata Mimi ,lazima mtu anaweza kujenga hoja na mwenye ujuzi wa mambo mengi ndio itakuwa rahisi kukabiliana na wazushi hasa wa Chadema.

Wana habari wengi wao hawana jipya ,kama sio huyo yupo Deogratius Balile nae anaweza kiasi mambo hayo.
 
Tatizo lililopo,Rais ni Ke ni ngumu kuwa na Mkurugenzi wa mawasiliano ikulu ambaye ni Me.
 
CHADEMA wakisikia Kafulila Matumbo joto sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…