IKULU mawasiliano inahitaji data analyst and propagandist, sio mwanahabari otherwise Rais atabadili sana. Mchukueni David Kafulila

Yakiwashinda mpeni Ahmedy Aly wa Simba😂
 

Na kutoa taarifa rasmi kwa lugha zote kuu rasmi za kiserikali yaani Kiswahili na kwa English kwa mdomo pia maandishi ili upotoshwaji usipate nafasi ndani ya nchi na hata nje ya mipaka yetu.
 
Hivi unajua kuwa kafulilia alidisco udsm. Sasa hiyo capacity ya kuanalyse mambo anaitoa wapi. Hana analytical power na ndo mana alidisco na pia alipeperusha bendera ya hesabu A level. Alikuwa anasoma BBA pale udsm akakamatwa kila course ya hesabu. Na mwanafalsafa mmoja aliwahi kusem kwamba if you excell in class you are likely to excell in so many things.
 
Acha uongo na uzushi wako wewe. Ungeonekana una akili kama ungeweka ushahidi.lakini kwa kuwa unajuwa ni uongo ndio maana umeishia kupiga porojo tu hapa.
 
Binafsi Kafulila nadhani kama sifa zingine anazo basi kwangu anafaa
 
Kwanza Kafulila sio kijana na pia sio data analyst, na pia ikulu inahitaji mtaalamu wa mawasiliano na sio wanapropaganda.
Sio kijana ana miaka mingapi?
Kafulila anao uwezo hata kama ni Mzee ila bado uwezo wake ni mkubwa
 
Naunga mkono hoja
 
Zile ID zako nyingine 5 sizioni hapa zikija kukusifia!

Nimeona moja tu!

Ujinga mtupu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…