IKULU mkianzisha Wizara ya Gender, basi mpeni Ndalichako, ateuliwe Mtu Mwamba kwenye Elimu.

Yule ni mtendaji kwenye siasa mlimpeleka kufanya nini?
 
Kwenye Urais bado sijaona hata wa kumbadili Samia,labda tusubiri akina Gambo wakue na kupata uzoefu wa mambo ya utawala.

Kwanza uchaguzi ujao Rais abadili pm awe mwanamke afu wizara ya viwanda na uwekezaji wawekwe watu wenye exposure..

Wizara ya fedha Zito na Mwigulu wakapambane huko .
 
Well noted
 
Viwanda+Elimu tulipigwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…