IKULU: Rais Magufuli amteua Dkt. Bashiru Ally Kakurwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi

IKULU: Rais Magufuli amteua Dkt. Bashiru Ally Kakurwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi

Thread kama hizi zikiibuliwa ni katika kutukumbusha uvunjaji mkubwa wa katiba kwa mwehu aliyejiita mtetezi wa wanyonge.

CCM bado hamna cha kujifunza msikwamishe upatikanaji katiba mpya?

Mwanzo mlichekelea kuwa anawayoosha wapinzani hadi alipowagusa ndio mkadeal naye..

Huu uteuzi haukuwa bahati mbaya bali ndio alikuwa anaanza rasmi ule mchakato wake ila ukaishia njiani.
 
Thread kama hizi zikiibuliwa ni katika kutukumbusha uvunjaji mkubwa wa katiba kwa mwehu aliyejiita mtetezi wa wanyonge.

CCM bado hamna cha kujifunza msikwamishe upatikanaji katiba mpya?

Mwanzo mlichekelea kuwa anawayoosha wapinzani hadi alipowagusa ndio mkadeal naye..

Huu uteuzi haukuwa bahati mbaya bali ndio alikuwa anaanza rasmi ule mchakato wake ila ukaishia njiani.
unamaana gani sasa kusema uongo kwa faida ya nani?
 
Thread kama hizi zikiibuliwa ni katika kutukumbusha uvunjaji mkubwa wa katiba kwa mwehu aliyejiita mtetezi wa wanyonge.

CCM bado hamna cha kujifunza msikwamishe upatikanaji katiba mpya?

Mwanzo mlichekelea kuwa anawayoosha wapinzani hadi alipowagusa ndio mkadeal naye..

Huu uteuzi haukuwa bahati mbaya bali ndio alikuwa anaanza rasmi ule mchakato wake ila ukaishia njiani.

Tuko ndani ya SGR tunaelekea Morogoro sasa
 
Tuko ndani ya SGR tunaelekea Morogoro sasa
Kusafiri kwenye treni jambo la kawaida na ni kwamba limechelewa tu miundombinu bora ni haki ya walipakodi.

Watu walishatoka huko maana kila mji uko interconnected na heavy rail rapid transit system ambayo ni public pia.

Saa hizi wanarusha rocket na kufanya ugunduzi wa vitu complex sio hizo simple stuffs.
 
Back
Top Bottom