jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
And everything is not permanent!!Power is not permanent
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
And everything is not permanent!!Power is not permanent
KUMBE ULIANZAGA ZAMAN UMBEA ?Kwi Kwi Kwi
unamaana gani sasa kusema uongo kwa faida ya nani?Thread kama hizi zikiibuliwa ni katika kutukumbusha uvunjaji mkubwa wa katiba kwa mwehu aliyejiita mtetezi wa wanyonge.
CCM bado hamna cha kujifunza msikwamishe upatikanaji katiba mpya?
Mwanzo mlichekelea kuwa anawayoosha wapinzani hadi alipowagusa ndio mkadeal naye..
Huu uteuzi haukuwa bahati mbaya bali ndio alikuwa anaanza rasmi ule mchakato wake ila ukaishia njiani.
Onyesha uongo upo wapi hapo.unamaana gani sasa kusema uongo kwa faida ya nani?
Thread kama hizi zikiibuliwa ni katika kutukumbusha uvunjaji mkubwa wa katiba kwa mwehu aliyejiita mtetezi wa wanyonge.
CCM bado hamna cha kujifunza msikwamishe upatikanaji katiba mpya?
Mwanzo mlichekelea kuwa anawayoosha wapinzani hadi alipowagusa ndio mkadeal naye..
Huu uteuzi haukuwa bahati mbaya bali ndio alikuwa anaanza rasmi ule mchakato wake ila ukaishia njiani.
Kusafiri kwenye treni jambo la kawaida na ni kwamba limechelewa tu miundombinu bora ni haki ya walipakodi.Tuko ndani ya SGR tunaelekea Morogoro sasa