Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... mwezi haukuisha; aliteuliwa Feb. 26; Mar. 17 jamaa kavuta! Naamini jamaa hakuwa katika hali ya kawaida wakati anateua; ni kati ya teuzi zilizoshangaza mno.Walipishana mwezi mmoja hivi
HeheDr. Bashiru anaandaliwa kuwa Rais ajae. Ameteuliwa kuwa Balozi na Katibu Mkuu kiongozi ili;
1) Awe karibu na serikali ili ajue inavyoendeshwa.
2) CV yake ikamilike kwamba aliwahi kuwa na post serikalini kama kiongozi wa Makatibu Wakuu.
3) Aanze kuwa karibu na Boss, ili ajue mienendo na matakwa ya Boss, hata kama akikalia kiti cha Urais basi asivuke mipaka ya Boss aliemuweka pale (Boss anasahau kwamba hata yeye alivokalia kiti kile, alimsahau na kumgeuka aliemteua).
4) Kuonyeshwa kwamba Boss anamuamini sana, hivo afanye juu chini katika njia yake ya Siasa kumkumbuka Mtakatifu Boss na asivunje uaminifu kwa Boss.
5) Ajue kwamba u-Communist ndani ya damu yake ndio uatakao mpa Urais wa nchi hii, ila amepewa nafasi ile aweze kubalance U-communist na U-socialist katika kuendesha taifa (Nchi hii ni ya Kikomunist nyuma ya pazia).
#Wana CCM wanaosaka Urais (Dr. Mwigulu & Co LTD) kwa nguvu sasa wapate akili na waache kuusaka Urais, Rais ajae ndio Dr. Bashiru Ally Kakurwa.
Hongera Sana kwake Balozi Comrade Dr Katibu Mkuu (Mstaafu) Mheshimiwa Mbunge BAKComrades tunajivunia uongozi wenu
Hongera Sana kwake Balozi Comrade Dr Katibu Mkuu (Mstaafu) Mheshimiwa Mbunge BAK
Acha uongoInteresting..
Sasa njia nyeupe Kwa Rais kuwa wa wa maisha
Acha uongo weweMkuu Fundi Madirisha uko sahihi.
NA HATA DOGO POLE POLE KUPEWA UBUNGE WANATAKA 2022 VIKAO VYAO WAJE NA SAFU MPYA ILI MCHAKATO WA KUMUONGEZEA MUDA HUYU PAA PAAA MKULU MZEE YA chato, UANZIE CHAMANI.
NDIO UINGIE BUNGENI.......!
Tuta shuhudia mengi,
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Kufanya yake wapi, acha bangiMkulu kadhamiria kufanya yake.kadri atakavyo.tumuombe mungu atuepushie balaa lijalo.
Kutenda hakiKufanya yake wapi, acha bangi
Mkuu,Mpeni pole kwani huko anakokwenda atakayokutana nayo ni ya kuhuzunisha muda si mrefu!!!
Mwendazake kaiishi ndoto yake ya Rais wa Maisha. Maisha yake yameishia kwenye Urais, au sivyo?Interesting..
Sasa njia nyeupe Kwa Rais kuwa wa wa maisha
Naona inawezekana ni kwa sababu yule KMK ana deal na wageni wengi wakubwa wa kimataifa ambao inakuwa si sawa wa deal na mtu ambaye hana hata ngazi ya ubalozi.Inapendeza KMK awe balozi, watu wa international relations wanaweza kutudadavulia vizuri hili.
Yule urais basi tu, lakini ndoto yake ilikuwa awe IGP.Mwendazake kaiishi ndoto yake ya Rais wa Maisha. Maisha yake yameishia kwenye Urais, au sivyo?
Na dikteta alivunja katiba.... mwezi haukuisha; aliteuliwa Feb. 26; Mar. 17 jamaa kavuta! Naamini jamaa hakuwa katika hali ya kawaida wakati anateua; ni kati ya teuzi zilizoshangaza mno.