IKULU: Rais Magufuli amteua Dkt. Bashiru Ally Kakurwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi

IKULU: Rais Magufuli amteua Dkt. Bashiru Ally Kakurwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi

Dr. Bashiru anaandaliwa kuwa Rais ajae. Ameteuliwa kuwa Balozi na Katibu Mkuu kiongozi ili;

1) Awe karibu na serikali ili ajue inavyoendeshwa.

2) CV yake ikamilike kwamba aliwahi kuwa na post serikalini kama kiongozi wa Makatibu Wakuu.

3) Aanze kuwa karibu na Boss, ili ajue mienendo na matakwa ya Boss, hata kama akikalia kiti cha Urais basi asivuke mipaka ya Boss aliemuweka pale (Boss anasahau kwamba hata yeye alivokalia kiti kile, alimsahau na kumgeuka aliemteua).

4) Kuonyeshwa kwamba Boss anamuamini sana, hivo afanye juu chini katika njia yake ya Siasa kumkumbuka Mtakatifu Boss na asivunje uaminifu kwa Boss.

5) Ajue kwamba u-Communist ndani ya damu yake ndio uatakao mpa Urais wa nchi hii, ila amepewa nafasi ile aweze kubalance U-communist na U-socialist katika kuendesha taifa (Nchi hii ni ya Kikomunist nyuma ya pazia).

#Wana CCM wanaosaka Urais (Dr. Mwigulu & Co LTD) kwa nguvu sasa wapate akili na waache kuusaka Urais, Rais ajae ndio Dr. Bashiru Ally Kakurwa.
Hehe

Labda awe raisi WA WCB
 
Hongera Balozi Dr Kakurwa, MP (PhD). Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu
 
Inapendeza KMK awe balozi, watu wa international relations wanaweza kutudadavulia vizuri hili.
Naona inawezekana ni kwa sababu yule KMK ana deal na wageni wengi wakubwa wa kimataifa ambao inakuwa si sawa wa deal na mtu ambaye hana hata ngazi ya ubalozi.

Ni kama Mkuu wa Itifaki vile, ni lazima awe balozi.
 
... mwezi haukuisha; aliteuliwa Feb. 26; Mar. 17 jamaa kavuta! Naamini jamaa hakuwa katika hali ya kawaida wakati anateua; ni kati ya teuzi zilizoshangaza mno.
Na dikteta alivunja katiba.

SG anatakiwa kuwa public servant yeye kamteua SG wa chama.
 
Back
Top Bottom