IKULU: Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Rufiji

IKULU: Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Rufiji

Troll JF

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
7,804
Reaction score
12,237
Rais Magufuli amemteua Luteni Kanali Patrick Kenani Sawala kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani

Luteni Kanali Sawala anachukua nafasi ya Juma Njwayo ambaye uteuzi wake umetenguliwa

Rais Magufuli leo amesikiliza kero za Wananchi katika Wilaya hiyo akiwa njiani kutoka Mtwara ambapo alisimama katika maeneo mbalimbali ikiwemo Ikwiriri

Rufiji.jpg
 
Back
Top Bottom