Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Tabia za kutoa watu "kafara" ili kutafuta kiki za kisiasa siyo nzuri.
Mkuu wa nchi kukagua vyoo sokoni is too low, hata kwa waziri wa TAMISEMI bado ndogo kwake
Magufuli anataka kutafuta kura kupitia kiki za kujifanya muwajibishaji
Ni kitu kibaya sana hicho!
Mkuu wa nchi kukagua vyoo sokoni is too low, hata kwa waziri wa TAMISEMI bado ndogo kwake
Magufuli anataka kutafuta kura kupitia kiki za kujifanya muwajibishaji
Ni kitu kibaya sana hicho!