Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni uzembe mkubwa Sana.Unakusanya 1.8Billion+pesa za miradi unashindwa kufanya maintenance ya magari?
Wataenda kujisaidia atakakoenda hata. Kama Dar watapanda daladala Hadi kwake wakimaliza wanapanda daladala wanarudi Baada ya kufikisha mizigoNdio yule waliambiwa watu wakajisaidie kwake?Sasa kama hayupo itakuaje
Mkuu hio video umeweka hapo ,mbona huyo nimkuu wa wilaya ya kibiti nasi Rufiji?. Au Rufiji ndio wilaya ya kibiti?. Na huyo mkuu wa wilaya ya kibiti anaonekana kwenye video anaitwa GULAM HUSSEIN SHABAN KIFU, alikua mbunge 2000/2005 jimbo la Kigoma kusini kupitia NCCR MAGEUZI hata diploma hana huyo jamaa.@Moderator JamiiForums wekeni taarifa sawa huyu jamaa anapotosha , video haiendani na utenguzi.Unakusanya 1.8Billion+pesa za miradi unashindwa kufanya maintenance ya magari?
Na yeye kampa za uso DC,nafikiri DC ndio anatamani Magufuli angerudi na pipaDuuh jamaa anatamani angerudi na ndege tu maana wananchi wamempa sana za uso
Ndo atamuweka yule bodyguard wake au.. maana sikuhizi simuelewi yule bodyguard wake ni kama vile kuna kanafasi hivi atakapata na inaelekea mkuru anamuelewa sana yule bodyguard wake..
We nawe una Diploma ya nini hata suala la video nalo la moderator?Mkuu hio video umeweka hapo ,mbona huyo nimkuu wa wilaya ya kibiti nasi Rufiji?. Au Rufiji ndio wilaya ya kibiti?. Na huyo mkuu wa wilaya ya kibiti anaonekana kwenye video anaitwa GULAM HUSSEIN SHABAN KIFU, alikua mbunge 2000/2005 jimbo la Kigoma kusini kupitia NCCR MAGEUZI hata diploma hana huyo jamaa.@Moderator JamiiForums wekeni taarifa sawa huyu jamaa anapotosha , video haiendani na utenguzi.
Acha kuposha uma jeneza la Mkapa lilibebwa na Generals hasa Brigedia Generals hukuona vile vidude vyekundu kwenye Kola?Yule sio Bodyguard ni ADC na ADC wa Rais kwa cheo chake ni Kanali sio huyo Lt Kanali
Ndio maana hata Jeneza la Mzee Mkapa limebebwa na Makanali na uzee wao imebidi tu wabebe wakati kuna vijana wanawashikia kofia pembeni na wanasindikizwa na maBrigedia Generali
We nawe una Diploma ya nini hata suala la video nalo la moderator?
Samahani Mkuu, hivi upo Kikosi gani sikuhiziYule sio Bodyguard ni ADC na ADC wa Rais kwa cheo chake ni Kanali sio huyo Lt Kanali
Ndio maana hata Jeneza la Mzee Mkapa limebebwa na Makanali na uzee wao imebidi tu wabebe wakati kuna vijana wanawashikia kofia pembeni na wanasindikizwa na maBrigedia Generali
Hapa ume reply nini? Usikute hujui hata kusomaNimekueleza huyo mkuu wa wilaya kwenye video hiyo anaitwa GULAM HUSSEIN SHABAN KIFU, na nimkuu wa wilaya ya kibiti nasi Rufiji?. Kwahio video uliyoleta hapa alietenguliwa hayuko kwenye video hiyo. Lengo lako nikupotosha ionekane kuwa anaeulizwa kwenye video hiyo ndio alietenguliwa. JamiiForums ondoeni hio video haiendani na barua ya utenguzi.
Sio huyo mkuu, huyo alieambiwa hivo ni mkuu wa wilaya ya kibiti, na alietenguliwa nimkuu wa wilaya ya Rufiji.Ndio yule waliambiwa watu wakajisaidie kwake?Sasa kama hayupo itakuaje
Ngoja nikuache we jamaa umekuja kuleta Propaganda, kwenye video uliyoweka mkuu wa wilaya anaitwa GULAM HUSSEIN KIFU, alietenguliwa anaitwa Juma unaona hayo majina yanafanana?. Acha kupotoshaHapa ume reply nini? Usikute hujui hata kusoma
Asante kwa masahihisho mkuuSio huyo mkuu, huyo alieambiwa hivo ni mkuu wa wilaya ya kibiti, na alietenguliwa nimkuu wa wilaya ya Rufiji.