Kwekitui
JF-Expert Member
- Oct 29, 2017
- 1,070
- 1,083
Hapana sio yule bwanaNdio yule waliambiwa watu wakajisaidie kwake?Sasa kama hayupo itakuaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana sio yule bwanaNdio yule waliambiwa watu wakajisaidie kwake?Sasa kama hayupo itakuaje
Ila watu wa Rufiji nimewanyooshea mikononkwa kuongea kaaah
Alisema alipata ajali baada ya hapo gari likazima lenyeweAu sababu itakua baada ya kusema hana gari yeye na mkurugenzi wake.
Angeliuza mvx wake pesa atumie kuwajengea chooAlisema alipata ajali baada ya hapo gari likazima lenyewe
Bwana afya wa eneo husika sijui yuko wapi!Tabia za kutoa watu "kafara" ili kutafuta kiki za kisiasa siyo nzuri.
Mkuu wa nchi kukagua vyoo sokoni is too low, hata kwa waziri wa TAMISEMI bado ndogo kwake
Magufuli anataka kutafuta kura kupitia kiki za kujifanya muwajibishaji
Ni kitu kibaya sana hicho!
This is my president Tunashukuru sana kwa kutatua matatatizo on the Sport. Nchi hii ilichezewa sana sana Na wahuni
Kikwete hajawahi kuongea hayo maneno ya taarabuInachoshangaza, kila aingiaye husema nimekuta nchi ipo hoi, nimekuta hiki kipo hovyo, nimekuta wezi wengi...etc LAKINI HAKUNA ANAYESEMA HUO UHOVYO UMESABABISHWA NA NANI..!!!
Hapo ndiyo ANAMUENZI MKAPA!Aache hasira.....
JK alisema kuwa alikua na maongezi marefu sana na Mkapa few hours before his spiritual departure! Pengine ndio kimemuudhiHapo ndiyo ANAMUENZI MKAPA!
Katoka kilioni hata nyumbani hajafika, anamalizia hasira huko!
Wataenda kujisaidia kwa luteni kanali [emoji38]Ndio yule waliambiwa watu wakajisaidie kwake?Sasa kama hayupo itakuaje
Mngejua ilivyoshida kupata pesa za kumfanyia service msingekua mnasema......Hiyo Wilaya magari yote mabovu, Mkuu wa Wilaya hana gari, Mkurugenzi Hana gari, DAs hana hana gari.
Sijui kosa la nani hapo.
On the sport? Ila umeeleweka mkuu kwasisi wakurya
Ungempea na nonino kabisa kutimiliza upendo! Watu wengine mnatia kinyaa sanaPamoja na mapungufu yake mh Raisi John Joseph Pombe Maghufuli , nimekua ni shabiki mkubwa sana wa Maghufuli , nampenda vibaya mno kutoka moyoni kama nimemzaa
Ungempea na nonino kabisa kutimiliza upendo! Watu wengine mnatia kinyaa sana
Ni kweli wana vijogoo vyekundu shingon'''' lakin vile vidude wanaanzia ma"kanal![emoji41] hla wale wazee waliobeba jeneza ni brigedia wale ...Acha kuposha uma jeneza la mkapa lilibebwa na Generals hasa Brigedia Generals hukuona vile vidude vyekundu kwenye Kola?
Jiandae tu na wewe muda si mrefu utachaguliwa kuwa waziri wa magari mabovu na mipango ya ghafla. Wizara mpya hiyoAwamu hii n uteuzi na utenguzi tyuuuh lol
Kafanya jambo jema.Unakusanya 1.8Billion+pesa za miradi unashindwa kufanya maintenance ya magari?