pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
Hapa ulimaanisha nini? Wengine hii lugha ililetwa kwa jahazi.
on the Sport.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
on the Sport.
Unatafuta uteuziPamoja na mapungufu yake mh Raisi John Joseph Pombe Maghufuli , nimekua ni shabiki mkubwa sana wa Maghufuli , nampenda vibaya mno kutoka moyoni kama nimemzaa
Kazi ya Mkuu wa wilaya ni kukagua vyoo? Nini kazi ya Afisa afya wa wilaya na mkurugenzi wa halmashauri?Ndio yule waliambiwa watu wakajisaidie kwake?Sasa kama hayupo itakuaje
Kwani yeye ndio alikuwa anawapangia wananchi maswali ya kuuliza?Tabia za kutoa watu "kafara" ili kutafuta kiki za kisiasa siyo nzuri.
Mkuu wa nchi kukagua vyoo sokoni is too low, hata kwa waziri wa TAMISEMI bado ndogo kwake
Magufuli anataka kutafuta kura kupitia kiki za kujifanya muwajibishaji
Ni kitu kibaya sana hicho!
Waislamu tunaonewa inabidi tuandamaneUjinga wake. Choo cha soko mpaka mhe rais akisemee? Sio sawa.
Dah sisi wenye imani ya kweli kwenye kutumbuliwa na hizi teuzi tunaonewa. Inabidi tuandamaneMkuu hio video umeweka hapo ,mbona huyo nimkuu wa wilaya ya kibiti nasi Rufiji?. Au Rufiji ndio wilaya ya kibiti?. Na huyo mkuu wa wilaya ya kibiti anaonekana kwenye video anaitwa GULAM HUSSEIN SHABAN KIFU, alikua mbunge 2000/2005 jimbo la Kigoma kusini kupitia NCCR MAGEUZI hata diploma hana huyo jamaa.@Moderator JamiiForums wekeni taarifa sawa huyu jamaa anapotosha , video haiendani na utenguzi.
Hivi huwa anatembea na reserve list ya watu wa kuteua? Maana kila akitumbua tayari ana mteule mfukoniUnakusanya 1.8Billion+pesa za miradi unashindwa kufanya maintenance ya magari?
kweli mzee anafanya vizuri kutengua wale wasiotimiza wajibu wao ila pia waweza kuta watenguliwa wakawa wanashukuru kutengeliwa pia maana kazi za kuteuliwa zimekua ngum sana hata binafsi najua siwezi pata uteuzi ila ikitokea nakataa na kuomba mzee amteue mwingine ,Ujinga wake. Choo cha soko mpaka mhe rais akisemee? Sio sawa.
Watata kinoma!Ila watu wa Rufiji nimewanyooshea mikononkwa kuongea kaaah
Na atalaani kifo cha Mkapa kwanini kilitokeaDuuh jamaa anatamani angerudi na ndege tu maana wananchi wamempa sana za uso
Zamu yake bado hapo anamlia timing tu arudi kutoka dar,akutane na barua ya MsigwaMkurugenzi anaponaje hapo, dah
Hivikwenye ToRs za DC kuna hilo la kujenga vyoo au stand za mabasi? DC ana bajeti ya kutekeleza hayo? Pengine tukubali tu kuwa Rais aliona si busara kubaki na mteule wake ambaye alikuwa amekwisha kumdhalilisha hadharani. Kisha akatengua uteuzi. Pu!Ujinga wake. Choo cha soko mpaka mhe rais akisemee? Sio sawa.
Mtela aliyekua DAS kisarawe ni muislam?. Yule DAS mpya alieteuliwa kisarawe ni mkristo?. Mkuu hoja ya Udini ni mfu sana kwenye teua tengua za mhe rais. Achana nayo.Waislamu tunaonewa inabidi tuandamane
mkuu pia sisi ni waTanzania acheni kutunyanyapaa. Mifano uliyotoa ni michache mno. Tunataka uwianoMtela aliyekua DAS kisarawe ni muislam?. Yule DAS mpya alieteuliwa kisarawe ni mkristo?. Mkuu hoja ya Udini ni mfu sana kwenye teua tengua za mhe rais. Achana nayo.
Na alichukuliwa hatua ipi?,,,,,,Inachoshangaza, kila aingiaye husema nimekuta nchi ipo hoi, nimekuta hiki kipo hovyo, nimekuta wezi wengi...etc LAKINI HAKUNA ANAYESEMA HUO UHOVYO UMESABABISHWA NA NANI..!!!
Kama una taarifa yoyote ya Ikulu yenye teuzi au tengua kwa dini moja, kabila moja au ukanda mmoja, naomba unitumie hapa. Hii kuongea vitu ambavyo kiuhalisia havipo, sio sawa mkuu. Nchi ni yetu wote.mkuu pia sisi ni waTanzania acheni kutunyanyapaa. Mifano uliyotoa ni michache mno. Tunataka uwiano
Mkuu heshima kwako. Kusema tu ukweli kabisa hii nchi siyo yetu wote. Kubali kataaKama una taarifa yoyote ya Ikulu yenye teuzi au tengua kwa dini moja, kabila moja au ukanda mmoja, naomba unitumie hapa. Hii kuongea vitu ambavyo kiuhalisia havipo, sio sawa mkuu. Nchi ni yetu wote.
Kuna Choo au hakuna?Wivu unapata faida gani akitenguliwa,wananchi wana majungu sana