IKULU: Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Rufiji

IKULU: Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Rufiji

Alikusumbua wakati unafanya shughuli za 'kichama'? Au wewe ni mpinzani?
Nilikuwa kwenye ujenzi wa chama , akanitaka nifike ofcn kwake nikakuta yuko na mkurugenzi wa wilaya na afisa usalama wa wilaya ...wakanitisha sana sana lkn nikawaambia sioni tatizo wala kosa mm kuijenga chadema ndani ya rufiji..bc nikaondoka zangu kuendelea na chadema ni msingi hadi nikamaliza zoezi japo waliniambia wangenipa kesi ya uwindaji haramu
 
hata atakekuja baadae nae atasema 'nilikuta nchi maamuzi ni ya mtu mmoja tu anachoamua ndio hicho. hakutaka kufuata sheria au mifumo iliyopo'
Nakumbuka Rais mstaafu Mkapa (RIP) alishawahi mwambia AACHE KUSEMA SERIKALI YANGU...
 
Sasa sisi wananchi wote tukanye kwenye choo cha mkurugenzi? Huyo DC nyumbani kwake kama ametumbuliwa atatuwekea maji chooni kweli
 
Rais Magufuli amemteua Luteni Kanali Patrick Kenani Sawala kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani

Luteni Kanali Sawala anachukua nafasi ya Juma Njwayo ambaye uteuzi wake umetenguliwa

Rais Magufuli leo amesikiliza kero za Wananchi katika Wilaya hiyo akiwa njiani kutoka Mtwara ambapo alisimama katika maeneo mbalimbali ikiwemo Ikwiriri

Mbona Rais Magufuli hatengui uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza na Dr. Bashiru alishapendekeza atenguliwe, au kuna viongozi hawaguswi?
 
Mkurugenzi anaponaje hapo, dah
Hata mimi nashangaa. Kwanini mkuregenzi anapona kwa kitendo hiki cha kinyama. Hivyo haya manyani yalienda shule gani? Yaani mtu uko kwenye madaraka unashindwa waza kuwa binadam katika mkusanyiko kama huo wa masokoni ya kwamba wanahitaji vyoo?

Watu kama hawa wanahitaji hata hivyo vyeti vyao vitenguliwe, maana inaonekana kuwa hawakuelewa yale madudu waliyo kuwa wakijazwa kwenye shule na vyuo vyao.

Misokwe kama hiyo iko mingi sana Tanzania. Wengine ni mawaziri na wanajigamba eti wana ma-PHD. "Sie können alle ihre PHD in den Arsch stecken". Hayo ma- PHD yao haya tusaidii sisi kitu chochote. Yako kwa ajili ya kuwaongezea mishahara tu na sio kingine.

Na Rais wetu anapo wateua anawapa masifa mengi ambayo hata hawastahili. Unawasifia watu hata kazi hawajaanza kuzifanya? Msifu mtu wakati amemaliza kazi aliyopewa. Mbona haja msifu Mkuu wa mkoa AD Hanri Mwanri alipo staafu? Amefanya kazi nzuri sana Tabora. Angemtunukia hata tuzo ya asante kwa kazi aliyo ionyesha.

Nimemsikiliza sana Rais Magufuli anapo waapisha watendaji kazi wake, karibu watendaji kazi wake wote alio wasifia amewatengua. Sasa hii ni nini?

Fazit: Asiwateue watu kwa sababu wako loyal kwake. Haisaidii kitu.
 
aliyetenguliwa n Yule wilaya yake Haina choo au Yule ambaye magar yake n mabovu naona Kuna mchanganyiko kwa watu wengi
 
Ndiyo maana wateule wengi waliamua kutia nia. Njwayo ameuchuna mchakato wa kura za maoni umeisha jamaa anamtumbua. Daaah!
 
Viongozi wa Wilaya ya Rufiji wamekosa majibu ya changamoto ya 'Ambulance'!!
"Au tatizo ni wateule wangu",hii kauli imeondoka na nafasi ya Mkuu wa Wilaýa.
Lakini,inawezekana kuna changamoto zingine ambazo zilikuwepo dhidi ya Mkuu wa Wilaya.
 
Viongozi wa Wilaya ya Rufiji wamekosa majibu ya changamoto ya 'Ambulance'!!
"Au tatizo ni wateule wangu",hii kauli imeondoka na nafasi ya Mkuu wa Wilaýa.
Lakini,inawezekana kuna changamoto zingine ambazo zilikuwepo dhidi ya Mkuu wa Wilaya.
Ambulance ipo, sema tu barabara ni mbovu kuliko maelezo ..kifupi ile wilaya iko nyuma kimiundo mbinu
 
Mkuu nilichoandika nakijua na najua yupi ni bodyguard na nani sio bodyguard.. sizungumzii yule anaevaaga nguo za jeshi bali yule anaevalia suti au kaunda suti.. naomba niishie hapo

Kwaiyo mkuu kakurupuka. Basi nikutakie idd njema
 
Luteni Kanali Sawala akajenge vyoo na kutengeneza magari sasa !! Hivi huyu ndio yule wa Navy ? Kazi anayo wilaya choka mbaya na mapato vs aina watu huko ni shida !!!
 
aliyetenguliwa n Yule wilaya yake Haina choo au Yule ambaye magar yake n mabovu naona Kuna mchanganyiko kwa watu wengi
Haijalishi wote ni makenge tu. Wakuu wa wilaya au wakurugenzi wote ni makenge tu. Hakuna wancho kufanya kwa maslahi ya wananchi. Wanajali matumbo yao tu.

Katika Tanzania hii ya leo ni watu wachache sana ambao nawaona wako serious na wajibi wao. Haya ni matokeoa ya systems za kijamaa ulimwemguni.
 
Wakuu wateule fanyeni kazi. acheni visingizio Kama hamuwezi kazi achieni kwa hiari hizo nafasi
 
Back
Top Bottom