Kama wewe unakaa Dar,unafikiri yale mabenzi meusi wanayotumia foreign affairs kwa wageni,na lile jeusi alilotumia Mkapa mwishoni yalitoka wapi? Yalitoka kwa Ghaddafi.Haya ma BMW yametoka Saudi Arabia.Hawa watu walishapewa eneo kubwa tu la kujenga ubalozi wao,Masaki.Pia taarifa wanapewa eneo kubwa kujenga bandari.
Sasa wewe unaesema mimi mwongo basi njoo na risiti,au atleast bei ya hayo magari yamenunuliwa wapi,tusiitane waongo tu bila facts.Prove me wrong,lakini usiniite muongo.
Kazi kweli kweli...sasa hawa viongozi wetu wana tofauti gani na Mangungo wa Msovero?
Lazima kuna cha juu hapo. Watu wamekaa chini, wametafuta pa kutokea, wakaamua kubadilisha magari ya msafara wa Rais.
Mambo mengina hakuna hata haja ya kuyajadili, hivi kweli kuna sababu za kuhoji why Raisi wetu amebadilisha gari kwa ajili ya matumizi yake? tunapaswa huhoji anaendeshaje nchi yetu lakini hili ambalo watu walipo kwenye kamati ya usalama wa raisi wameona kuwa linafaa kulinda usalama wake halipaswi kujadiliwa na kulikosoa, na sitashangaa kuona watu wanakuja humu na kusema hizo pes azilizonunua magari wangewapa wanafunzi wa vyuo vikuu... hahaha some times JF makes me happy
Jamani;
Naomba muwe wapole. BMW ni za msaada. Huyu mwandishi alistahili kuchunguza kwanza kabla ya kuhitimisha na kutaja ma bei.
FP
Sasa hamtaki kukubali kuwa nchi yenu ni maskini? Waziri Mkuu kasema sisi ni "maskini sana" halafu mnakataa; mnataka Rais atumie usafiri gani kuendana na hadhi yake kama Amiri Jeshi Mkuu, na Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi. Hawezi kusafiria Corolla!
Jamani,hapa JK tusimuonee.Haya magari wamepewa buree toka uarabuni.Tena hawa waarabu walileta mpaka mtaalamu wa haya magari toka Ujerumani kuja kuyafanyia service kabla hayaanza kutumiwa.Hata lile benzi alilotumia Mkapa wakati anamaliza muda wake nalo lilikuwa la chee toka hukohuko.
Mkuu Icadon,
Kwenye masuala haya nakukubali sana tu. Hebu tupe ushauri, ni gari gani la gharama nafuu linaweza kumfaa rais wetu? Be frank, kama hawajakosea tusiwabebeshe mzigo wa lawama bure
Sasa hamtaki kukubali kuwa nchi yenu ni maskini? Waziri Mkuu kasema sisi ni "maskini sana" halafu mnakataa; mnataka Rais atumie usafiri gani kuendana na hadhi yake kama Amiri Jeshi Mkuu, na Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi. Hawezi kusafiria Corolla!
FM,Thomas Sankara alitumia VW yake aliyokuwa nayo kabla ya kupindua nchi. Wote tunajua yaliyompata!
Kwani Beemer 750 Li ni salama zaidi kuliko Benzi?