Ikulu ya Dodoma imetelekezwa? Rais Samia anatumia ya Dar es salaam na Tunguu Zanzibar

Ikulu ya Dodoma imetelekezwa? Rais Samia anatumia ya Dar es salaam na Tunguu Zanzibar

Ikulu ya Dodoma imetekekezwa,punde itageuka mahame au makazi ya popo
Rais Samia anashida Dar au Tunguu Zanzibar.
Je huu ni uungwana?
pesa za wajinga zinaliwa, na baadae anakija na swagwa za ku cancke sherehe za uhuru na pesa zitumike kwenye shughuri za maendeleo wajinga wa hili Taifa wana kenua meno sana, ilihali Raisi mwenyewe anaishi maisha sawa na yule Mke wa Mfarume wa Ufaransa kabla ya Frech revolution.

Samia anaishi maisha ya anasa sana na pesa za wajinga wa hili Taifa.
 
pesa za wajinga zinaliwa, na baadae anakija na swagwa za ku cancke sherehe za uhuru na pesa zitumike kwenye shughuri za maendeleo wajinga wa hili Taifa wana kenua meno sana, ilihali Raisi mwenyewe anaishi maisha sawa na yule Mke wa Mfarume wa Ufaransa kabla ya Frech revolution.

Samia anaishi maisha ya anasa sana na pesa za wajinga wa hili Taifa.
Kazi tunayo
 
Back
Top Bottom