Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Vumilia Mungu atakusaidia.Viongozi wetu wanatukosea kwa kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vumilia Mungu atakusaidia.Viongozi wetu wanatukosea kwa kweli
Hahahah yaani mnaionaga Dar kama haina vumbi lakini hakuna sehemu ya kijinga na hovyo kama Dar es Salaam ukiongea kwa mtu mwenye exposure basi tu maisha!Hata ningekuwa mimi... ntaachaje kukaa Dar nikapigwe vumbi Dodoma...
Wa kulaumiwa ni aliyepoteza hela ya kodi zetu kujenga Ikulu Dodoma...
Ila yule mzee kiboko.Alikuwa anajilaza kwenye mawe mkimtibua.Alale mahali pema peponi hayanane!Uzuri wa Dar au Zanzibar Bi mkubwa anaweza kutoka hata nje jioni akawa anapunga upepo wa bahari akiwa anapata kikombe cha kahawa na haluwa ana relax. Sasa jiwe mlikuwa mkimzingua anaenda kulala juu ya mawe kule Dodoma 🤣
Na inakuwaje inatumika ikulu ya nchi nyingine yenye mamlaka yake kamili?Ikulu ya Dodoma imetekekezwa,punde itageuka mahame au makazi ya popo
Rais Samia anashida Dar au Tunguu Zanzibar.
Je huu ni uungwana?
Yule Msukuma mambo ya mjini Dar yalikuwa yamempita kushoto sana.Ila yule mzee kiboko.Alikuwa anajilaza kwenye mawe mkimtibua.Alale mahali pema peponi hayanane!
Tumsamehe.Wahuni walikuwa wengi kuliko ngoshaz!Yule Msukuma mambo ya mjini Dar yalikuwa yamempita kushoto sana.
Mna nongwa sana kama kunguru kwani shughuli za kiserikali akifanyiwa huko kuna shida ganiIkulu ya Dodoma imetekekezwa,punde itageuka mahame au makazi ya popo
Rais Samia anashida Dar au Tunguu Zanzibar.
Je huu ni uungwana?
Kuliko Chigoma?Kuna majini
Hata Mimi Dodoma sipapendi.Dodoma hapavuti kukaa sana mkuu kama unajiweza sana kifedha, Dar es Salaam na Zanzibar ndio miji ya ku enjoy maisha.
Unatakiwa ufike pale ukaangiwe viwavijeshi ule na ugali wa mtama/uwele.Hata Mimi Dodoma sipapendi.
Ni ushauri wa Makonda, kamtisha kuwa Ikulu ya Dodoma imerogwa sana hivyo asiitumie mara kwa mara hadi jopo la waganga toka Gamboshi watakapoitakasa.Ikulu ya Dodoma imetekekezwa,punde itageuka mahame au makazi ya popo
Rais Samia anashida Dar au Tunguu Zanzibar.
Je huu ni uungwana?
Tupendane.Chuki inatokea wapi?Atokee Raisi MTANGANYIKA avunje huu muungano uchwara. Kila mtu aishi maisha yake.
Ndiyo....Huu ni uungwanaIkulu ya Dodoma imetekekezwa,punde itageuka mahame au makazi ya popo
Rais Samia anashida Dar au Tunguu Zanzibar.
Je huu ni uungwana?