Ismoo
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 1,101
- 1,573
Tunaendelea kupendana ila Muungano uvunjwe hauna tija.Tupendane.Chuki inatokea wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaendelea kupendana ila Muungano uvunjwe hauna tija.Tupendane.Chuki inatokea wapi?
Ni mimi Donald Mambombotela nikiwa hapa KBC Nairobi!N
Ndiyo....Huu ni uungwana
Dom yupo MakamuIkulu ya Dodoma imetekekezwa,punde itageuka mahame au makazi ya popo
Rais Samia anashida Dar au Tunguu Zanzibar.
Je huu ni uungwana?
Nasubiri nikutwe na bwana pepsiKamata pepsi baridiii
Yule alikuwa MhutuYule Msukuma mambo ya mjini Dar yalikuwa yamempita kushoto sana.
Kurogana ndio sababu?Ikulu ya Dodoma imetekekezwa,punde itageuka mahame au makazi ya popo
Rais Samia anashida Dar au Tunguu Zanzibar.
Je huu ni uungwana?
Dar ndio Tanzania sasa.Hahahah yaani mnaionaga Dar kama haina vumbi lakini hakuna sehemu ya kijinga na hovyo kama Dar es Salaam ukiongea kwa mtu mwenye exposure basi tu maisha!
Wewe ukiwa wakwanza akina Luca watakuwa wangapi?Wa kwanza hapa
Wee mzee upoo?Mbona ilishawahi kutelekezwa ikahamishiwa Chato na hukulalamika?
CCM inajenga nchi.... tulieni walalahoi.
Nipo jana na leo...Wee mzee upoo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzuri wa Dar au Zanzibar Bi mkubwa anaweza kutoka hata nje jioni akawa anapunga upepo wa bahari akiwa anapata kikombe cha kahawa na haluwa ana relax. Sasa jiwe mlikuwa mkimzingua anaenda kulala juu ya mawe kule Dodoma [emoji1787]
Sijakusoma mda humu, nikawa najiuliza huyu mzee kazamia wapi.Nipo jana na leo...
Yuko Dom au yuko sana Chanika? 😲Dom yupo Makamu
Mswahili bila maji ni sawa na pweza umweke nchi kavu.Ikulu ya Dodoma imetekekezwa,punde itageuka mahame au makazi ya popo
Rais Samia anashida Dar au Tunguu Zanzibar.
Je huu ni uungwana?