Queen Kan
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,226
- 8,961
Hapa nilipofika upendo niliobaki nao ni waagape tuNimekumisi kipenzi. Mimi bado nakupenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa nilipofika upendo niliobaki nao ni waagape tuNimekumisi kipenzi. Mimi bado nakupenda
Kwani Tanzania mna akili?Hivi Mbona mfano Kenya, Ruto hana Ikulu kule kwao Sugoi Elidoreti?
Dodoma Unapaonaje MkuuIkulu ya Dodoma imetekekezwa,punde itageuka mahame au makazi ya popo
Rais Samia anashida Dar au Tunguu Zanzibar.
Je huu ni uungwana?
Umepata msosi jioni hii?Ikulu ya Dodoma imetekekezwa,punde itageuka mahame au makazi ya popo
Rais Samia anashida Dar au Tunguu Zanzibar.
Je huu ni uungwana?
Joto la Dar Noma!Hata ningekuwa mimi... ntaachaje kukaa Dar nikapigwe vumbi Dodoma...
Wa kulaumiwa ni aliyepoteza hela ya kodi zetu kujenga Ikulu Dodoma...
Kuna wakati Ikulu ilikuwa Chato.Ikulu ya Dodoma imetekekezwa,punde itageuka mahame au makazi ya popo
Rais Samia anashida Dar au Tunguu Zanzibar.
Je huu ni uungwana?
HahahaMwendazake alikuwa anatumia ya Chato na Dar
Toenj mauchawi yenu kwanza
Kuna uzuri gani?Dar pazuri.
La hasha huu si uungwanaIkulu ya Dodoma imetekekezwa,punde itageuka mahame au makazi ya popo
Rais Samia anashida Dar au Tunguu Zanzibar.
Je huu ni uungwana?
Rais analogwa sana- MakondaIkulu ya Dodoma imetekekezwa?
Rais Samia anatumia zaidi ya Dar es Salaam au Tunguu Zanzibar.
Je huu ni uungwana?
Soon, ikuu itahamishiwa kizinkazi mwanangu ndo tukome na kukomaa. Kuna watu hawafai hata kuongoza kundi la funza mwanangu.Ikulu ya Dodoma imetekekezwa?
Rais Samia anatumia zaidi ya Dar es Salaam au Tunguu Zanzibar.
Je huu ni uungwana?
"Serikali ibaki Dodoma,ikiwezekana ikulu ya Dar ifanywe makumbusho"Tumia akili anaandika!!Ikulu ya Dodoma imetekekezwa?
Rais Samia anatumia zaidi ya Dar es Salaam au Tunguu Zanzibar.
Je huu ni uungwana?
🤣 🤣 🤣Na mama naye kajiwekea karantini kuogopa Taifodi...
Kila mtu ashinde mechi zake....
🤣 🤣 🤣Ni ushauri wa Makonda, kamtisha kuwa Ikulu ya Dodoma imerogwa sana hivyo asiitumie mara kwa mara hadi jopo la waganga toka Gamboshi watakapoitakasa.
Mama Samia si wa kwanza,Raisi Nyerere mwanzilishi wa Makao makuu Dodoma 1975 alikaa siku kidogo tu pale Chamwino nadhani alikosa kuangalia mameli yakipita ferry na amsha amsha ya Dar akafanya U TURN akarudi Dar hadi anastaafu 1985.Dar pazuri.