Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Joto la Dar ni umaskini wako tu....Joto la Dar Noma!
Nami ndio naoutaka sasa....Hapa nilipofika upendo niliobaki nao ni waagape tu
Kwahiyo ukahisi nimededi? Usifanye hivyo bhanaSijakusoma mda humu, nikawa najiuliza huyu mzee kazamia wapi.
Nimefurahi kukuona.
Mtu wa pwani kuishi kwa kina Matonya muhali!Ikulu ya Dodoma imetekekezwa?
Rais Samia anatumia zaidi ya Dar es Salaam au Tunguu Zanzibar.
Je huu ni uungwana?
Nyumbani ni nyumbani tu !Ikulu ya Dodoma imetekekezwa?
Rais Samia anatumia zaidi ya Dar es Salaam au Tunguu Zanzibar.
Je huu ni uungwana?
2030 au 2035 !Uliona wapi mzanzibari akaishi mbali na pwani? Dawa hapo ni kuingia mtanganyika mwenye misimamo thabiti na si rojorojo km wale kina yakhe!
Kwakweli 😂Uzuri wa Dar au Zanzibar Bi mkubwa anaweza kutoka hata nje jioni akawa anapunga upepo wa bahari akiwa anapata kikombe cha kahawa na haluwa ana relax. Sasa jiwe mlikuwa mkimzingua anaenda kulala juu ya mawe kule Dodoma 🤣
King Luis,na Marie Antoinette 🤣😀🤣😀🤣pesa za wajinga zinaliwa, na baadae anakija na swagwa za ku cancke sherehe za uhuru na pesa zitumike kwenye shughuri za maendeleo wajinga wa hili Taifa wana kenua meno sana, ilihali Raisi mwenyewe anaishi maisha sawa na yule Mke wa Mfarume wa Ufaransa kabla ya Frech revolution.
Samia anaishi maisha ya anasa sana na pesa za wajinga wa hili Taifa.
Kwa hiyo joto ni Kwa maskini!maoni mengine kipengere sana.Joto la Dar ni umaskini wako tu....
Hakuna rais anayeishi kimaskini hapa duniani. Hayati alitumia sanaa ya kula mahindi njiani ili aonekane ni mtu wa kawaida lakini mamlaka yake ya kikatiba yalimpa uwezo wa kuwa bilionea muda wowote ule.pesa za wajinga zinaliwa, na baadae anakija na swagwa za ku cancke sherehe za uhuru na pesa zitumike kwenye shughuri za maendeleo wajinga wa hili Taifa wana kenua meno sana, ilihali Raisi mwenyewe anaishi maisha sawa na yule Mke wa Mfarume wa Ufaransa kabla ya Frech revolution.
Samia anaishi maisha ya anasa sana na pesa za wajinga wa hili Taifa.
Ni Mwabukusi au naniTusubiri rais mtanganyika,
IKULI ya Dodoma ipo kisiasa, ki ukweli hakuna Rais atapenda kuishi Dodoma. Hata hao watendaji wapo huko Dodoma sababu hawana namna yoyote na ndiyo maana SGR ya Ijumaa kuja Dar ni nyomi na ya J3 kurudi Dom ni nyoni.Ikulu ya Dodoma imetekekezwa?
Rais Samia anatumia zaidi ya Dar es Salaam au Tunguu Zanzibar.
Je huu ni uungwana?
Kweli kabisa.....na watumishi wanajiweza sana, acha wale maisha. Thanks to the taxpayers!Dodoma hapavuti kukaa sana mkuu kama unajiweza sana kifedha, Dar es Salaam na Zanzibar ndio miji ya ku enjoy maisha.
Kwa umri wako Babu wewe upendwe tu na bibi hapo nyumbaniNami ndio naoutaka sasa....
KhaaaaKwa umri wako Babu wewe upendwe tu na bibi hapo nyumbani