Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera kwakeMakamu wa Rais was taifa kubwa USA amempa big up bosi Maxence Melo kwa kunyuka suti kali.View attachment 1285450View attachment 1285451View attachment 1285452View attachment 1285453
Unataka aanike yote waliyoongea hapa?Kwahiyo beberu mike pence anajua wabongo sio wanadhifu?
Melo naye kwahyo mazungumzo yote waliyoongea ndio anapost kusifiwa unadhifu?
Noma sana big up boss wa jf
Nikiwa mkubwa nataka kuwa kama max[emoji2]
Kipi cha ajabu alichofanya??Maxence Melo hayupo nadhifu tu kimavavi pia ni nadhifu kiakili, wewe ni mmoja wa vijana wanaojitambua duniani ambapo kwa evaluation huwa mnatokea kwa ratio ya 1:50:10,000,000 kwa maana ya mmoja kila baada ya miaka 50 katika kundi la watu milioni kumi.
Hapa Melo amekidhi vigezo vya kabila lake!Kwahiyo beberu mike pence anajua wabongo sio wanadhifu?
Melo naye kwahyo mazungumzo yote waliyoongea ndio anapost kusifiwa unadhifu?
Melo utamponza Sheria Ngowi
Wenye nchi watanuna,atakosa kazi
Mnashindana kutupiana maneno ya kwenye kanga tu na hao unaowasema.Hakuna mwana Lumumba anaye weza kufikia levo hiyo. Wakina Polepole hapo ni kina kirefu. Wote wapiga filimbi pale Lumumba hapo ni kina kirefu sana.
Sana sana wanaweza tu kukutana na watu wa kununua hasa madiwani na wabunge basi
Said selemani ndio naniTahadhari usijekuwa SAIDI SELEMAN
Huko ni kina kirefu sana, yaani CCM wote walina Polepole ujanja wao unaishia kupiga picha na madiwani wa kununua.
Wakijitahidi sana watapiga picha na Wacomonist wa China
Ingekuwa Chatonian Stone angerudi na kusema jinsi gani Pence ni mwanaumeHivi Stone Chatonian ameshawahi Kukutana na hata ' Waandamizi ' hawa wa nchini Marekani? Mtani wangu unawaudhi Watu.
Acha wivuKwahiyo beberu mike pence anajua wabongo sio wanadhifu?
Melo naye kwahyo mazungumzo yote waliyoongea ndio anapost kusifiwa unadhifu?
Pongezi kwake kijana. Lakini pamoja na ushabiki lakini tuelezwe yale mambo yaliyojiri huko .
Ingekuwa ni Magufuli kaonana na wote hao Gerson Msigwa asingetuacha tulale
Jina la ubatizo la Mbowe Mugabe!Said selemani ndio nani