Ikulu ya Marekani: Mike Pence ampongeza Maxence Melo kwa unadhifu wake

Ikulu ya Marekani: Mike Pence ampongeza Maxence Melo kwa unadhifu wake

Kwahiyo beberu mike pence anajua wabongo sio wanadhifu?

Melo naye kwahyo mazungumzo yote waliyoongea ndio anapost kusifiwa unadhifu?
Unataka aanike yote waliyoongea hapa?

Jua tu mojawapo ni unyanyasaji na uuaji wa uhuru wa vyombo vya habari na ile kesi ya kijinga ya kutaka majina halisi ya wanaJF.
 
Ni ishara njema kukubalika. JF inaweza kuendelea kuwepo hata nje ya mipaka ya Tz, kwa support kubwa wapenda democrasia.
Angalizo tu watawala wasitoe maelekezo kesi dhidi JF, mtamwongezea chura.
 
Maxence Melo hayupo nadhifu tu kimavavi pia ni nadhifu kiakili, wewe ni mmoja wa vijana wanaojitambua duniani ambapo kwa evaluation huwa mnatokea kwa ratio ya 1:50:10,000,000 kwa maana ya mmoja kila baada ya miaka 50 katika kundi la watu milioni kumi.
Kipi cha ajabu alichofanya??

Acha kujipendekeza kindezi
 
Hakuna mwana Lumumba anaye weza kufikia levo hiyo. Wakina Polepole hapo ni kina kirefu. Wote wapiga filimbi pale Lumumba hapo ni kina kirefu sana.

Sana sana wanaweza tu kukutana na watu wa kununua hasa madiwani na wabunge basi
Mnashindana kutupiana maneno ya kwenye kanga tu na hao unaowasema.
 
Juzi juzi nimemuona Pole Uzinduzi wa Garimoshi! Anacheeka hadi miguu haigusi ardhi
Huko ni kina kirefu sana, yaani CCM wote walina Polepole ujanja wao unaishia kupiga picha na madiwani wa kununua.

Wakijitahidi sana watapiga picha na Wacomonist wa China
 
Pongezi kwake kijana. Lakini pamoja na ushabiki lakini tuelezwe yale mambo yaliyojiri huko .

hahahahahahaha ukiona wazungu wanakupenda ujue lipo jambo....Lakini binafsi JF naipenda sana, ukiacha watu wachache wanaoichafua kwa kutozingatia maadili...Lakini hii siyo plus tu kwa melo na JF bali kwa serikali pia kwamba inazingatia masuala ya freedom of speech/opinion
 
Hahaha watanzania huwa hatuamini kitu kirahisi.

Naamini hata Mungu akionyesha mkono wake tutataka proof licha ya kwamba hatujawahi kuuona.

Siku zote watu hudai picha, leo zipo picha wanataka sauti, hahaha.

Mkuu Maxence Melo lete video tafadhari.
 
Back
Top Bottom