Ikulu ya Marekani: Mike Pence ampongeza Maxence Melo kwa unadhifu wake

Ikulu ya Marekani: Mike Pence ampongeza Maxence Melo kwa unadhifu wake

Ingekuwa Chatonian Stone angerudi na kusema jinsi gani Pence ni mwanaume

Maxence Melo anawaudhi sana Watu na hizi Picha Picha zake hasa akiwa Ikulu ya Marekani wakati wengine kuna uwezekano hata wakisema wanatembelea huko wataishia Kukaribishiwa tu Getini na wakibahatika sana basi katika Chumba cha Walinzi au Wapishi na Kuagiwa huko huko. Ngoja nami nitafute nauli niende Mkoani Mwanza Kupiga Picha na Daraja Mfano la Kigongo Busisi.
 
hahahahahahaha ukiona wazungu wanakupenda ujue lipo jambo....Lakini binafsi JF naipenda sana, ukiacha watu wachache wanaoichafua kwa kutozingatia maadili...Lakini hii siyo plus tu kwa melo na JF bali kwa serikali pia kwamba inazingatia masuala ya freedom of speech/opinion
Alienda kurenew kandarasi ya recruit majambazi wa mtandao, vijana wa CDM jipongeze!
 
Hakuna mwana Lumumba anaye weza kufikia levo hiyo. Wakina Polepole hapo ni kina kirefu. Wote wapiga filimbi pale Lumumba hapo ni kina kirefu sana.

Sana sana wanaweza tu kukutana na watu wa kununua hasa madiwani na wabunge basi
Kwanza kwa maubaya yao hayatakiwi hata kukanyaga Washington
 
Hongera sana Mkuu unaipeperusha vyema bendera ya nchi yetu, Mungu akuzidishie ujasiri.
 
Hongera sana kaka Maxence Melo kwa kazi nzuri. Tutaendelea kufunga na kuiombea jf iwepo mpaka kizazi na kizazi ili kizazi kijacho kiendelee kuwa na jukwa hili huru la kujuzana yanayojiri hapa na popote duniani. Mungu akubariki na kukutunza
 
Back
Top Bottom