GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ingekuwa Chatonian Stone angerudi na kusema jinsi gani Pence ni mwanaume
Maxence Melo anawaudhi sana Watu na hizi Picha Picha zake hasa akiwa Ikulu ya Marekani wakati wengine kuna uwezekano hata wakisema wanatembelea huko wataishia Kukaribishiwa tu Getini na wakibahatika sana basi katika Chumba cha Walinzi au Wapishi na Kuagiwa huko huko. Ngoja nami nitafute nauli niende Mkoani Mwanza Kupiga Picha na Daraja Mfano la Kigongo Busisi.