GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ingekuwa Chatonian Stone angerudi na kusema jinsi gani Pence ni mwanaume
Unatafuta tusi? Leo sina mood ya kutukana tafuta rika lako mkacheze kombolela, nina mbwa wangu ananiheshimu na ni mdogo kwako so kukosa adabu nadhani ni tabia za mbwa koko hivyo ruksa kuonesha sura yako halisiKipi cha ajabu alichofanya??
Acha kujipendekeza kindezi
Alienda kurenew kandarasi ya recruit majambazi wa mtandao, vijana wa CDM jipongeze!hahahahahahaha ukiona wazungu wanakupenda ujue lipo jambo....Lakini binafsi JF naipenda sana, ukiacha watu wachache wanaoichafua kwa kutozingatia maadili...Lakini hii siyo plus tu kwa melo na JF bali kwa serikali pia kwamba inazingatia masuala ya freedom of speech/opinion
Zaidi ya kuinamishwa na kupigwa mjeledi uko na nini kingine Boss
Weka ushahidiAlienda kurenew kandarasi ya recruit majambazi wa mtandao, vijana wa CDM jipongeze!
Hongera Max, Mungu akutunzeMakamu wa Rais was taifa kubwa USA amempa big up bosi Maxence Melo kwa kunyuka suti kali.View attachment 1285450View attachment 1285451View attachment 1285452View attachment 1285453
Ufipa nanyi mnaamini kaenda iwakilisha chadema...hatari sana.Hongera sana Maxence Melo kwa kuwakilisha vyema vijana wa Tanzania....japo Lumumba watesema umeenda kuwachongea kwa mabeberu
Ulitakiwa ujibu kuwa hiyo suti ni jitihada za serikali ya awamu ya tano kwa kutengeneza viwanda vya ndani, wallahi ungebakizwa huko huko ukawe Balozi wetu US.Makamu wa Rais was taifa kubwa USA amempa big up bosi Maxence Melo kwa kunyuka suti kali.View attachment 1285450View attachment 1285451View attachment 1285452View attachment 1285453
HahahahaaaKama unaweza kubishana na mbwa basi wewe ni jibwa lenye shahada nne! Una mdomo mwingine kwa ajili ya kula chakula ama huu mchafu ndio unaoutumia pia kwenye kutoa matusi na matumizi mengine?
Si Mchezo Maxence Meza Moja na Mike Pence!!!Makamu wa Rais was taifa kubwa USA amempa big up bosi Maxence Melo kwa kunyuka suti kali.View attachment 1285450View attachment 1285451View attachment 1285452View attachment 1285453
Kwanza kwa maubaya yao hayatakiwi hata kukanyaga WashingtonHakuna mwana Lumumba anaye weza kufikia levo hiyo. Wakina Polepole hapo ni kina kirefu. Wote wapiga filimbi pale Lumumba hapo ni kina kirefu sana.
Sana sana wanaweza tu kukutana na watu wa kununua hasa madiwani na wabunge basi