😃😃😃hauwezi kufika hizo level kama sio big brainHuko ni kina kirefu sana, yaani CCM wote wakina Polepole ujanja wao unaishia kupiga picha na madiwani wa kununua.
Wakijitahidi sana watapiga picha na Wacomonist wa China
Una wivu wa kishamba sanaMbona kama kuna harufu ya ushoga hapo....mwanaume utamsifiaje mwanaume mwenzio kapendeza