Uhuru wetu kama nchi ni muhimu sana kuliko hao Wamarekani na hao Vibaraka wao. Tutaendelea kupambana kama kawaida.Hili si ccm wameshinda kwa haki Sasa Mambo ya mungu yanatokea wapi
Ninachokiona hapa ni kuwa Kuna mtikisiko tutapata tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhuru wetu kama nchi ni muhimu sana kuliko hao Wamarekani na hao Vibaraka wao. Tutaendelea kupambana kama kawaida.Hili si ccm wameshinda kwa haki Sasa Mambo ya mungu yanatokea wapi
Ninachokiona hapa ni kuwa Kuna mtikisiko tutapata tu
Hatuhitaji kuwaogopa anaogopwa Mungu tu.Wako serious busara itumike
Uhuru wetu kama nchi ni muhimu sana kuliko hao Wamarekani na hao Vibaraka wao. Tutaendelea kupambana kama kawaida.
Hao ndio wezi wenyewe, tupo nao humu pamoja na vibaraka wao.Kuna watu humu wanajitoa akili, au ndiyo akili zoo, kweli unadiriki kuutetea wizi na unyama uliofanyika bila kificho, kweli sisi waafrika tuna matatizo ya akili
Kwani wewe humujui?Huyo Mungu unamjua? Acha unafiq
Kaombe uraia Marekani hujalazimishwa kuweka makalio Tanzania
Be free Nenda US ya nini ujitese umewekwa gundi?
Yaani hawa mabeberu wana wasi wasi kama kweli tunathamini demokrasia. Pia wana imani kuwa mazagazaga na utumiaji nguvu uliotokea kwenye uchaguzi wetu umechangia ushindi wa CCM. Kwa lugha rahisi hawa amini kuwa CCM ilishinda uchaguzi huo.These irregularities call into question Tanzania’s commitment to democratic values. While the Tanzania Election Commission declared President Magufuli on October 30 as the winner of the presidential contest, we remain deeply troubled by the impact of these irregularities and violence on the results.
Ndug yang hujui utendalo,inaonekana wewe ni mchumia tumbo tu kama wengine kwahiyo sikulaumu!Kwa Vigezo vya Mabeberu wa Kimarekani, Sie Tanzania tuna ukiukwaji Mkubwa wa Demokrasia na haki za Binadamu kuliko Mashoga zao wa Saudia
Sie na Magufuli wetu wao na kina Pompeo wao!
2025 Inshallah wataambulia Asilimia 1 ya kura zote wakashtaki tena
Yaani nyinyi vibaraka tunawasubiri kwa hamu sana siku inaaza tu hiyo bombs unazozisema tunawafuata kwanza nyinyi vibaraka. Duniani kote vibaraka hawajawahi kuongoza ama kutawala nchi kwa mafanikio bali mwisho wao ni mbaya sana tu. Angalia Misiri, Libya, Iraq nk. Vibaraka waliingizwa na Marekani lakini mwisho wao ni vifo vya aibu tu. Kwa hiyo na wewe kibaraka be prepared.Bila Bombs hasikii MTU, mwafrika bila kichapo hasikii. Haya matamko ni bure Kwa madikiteita
Wala hana wasiwasi hata wakati kabla hatujapiga kura mlisema maneno haya haya kuwa atashindwa lakini sasa hivi vibaraka wote ndiyo wanaopumulia mipira eti Lissu alikuwa anasema ataingiza watz barabarani lakini sasa hivi amekosa hata mtu mmoja wa kumwingiza barabarani. Tayari amenyooshwa!Meko huko alipo ana leso la kufutia upara hata kwa baridi hili la makambako yeye kijasho chembambaaa humtoka
Mtahaha sana kutafuta msaada kwenye tuta. Keshokutwa chuma kinaapishwa.Africa imejaa unafiki, acha wazungu waseme
Tutaifanya hii nchi iwe free, hapahapa na tunasaidiana na wamarekani. Tulikuwa hatuna mtu kama lisu sasa tuaye. Na tupo wengi kweli. Wote ni vichwa kama lisu. Msifikirie huu ni utani.
Ndug yang hujui utendalo,inaonekana wewe ni mchumia tumbo tu kama wengine kwahiyo sikulaumu!.
hebu ondoeni zuilio la polsisiemWala hana wasiwasi hata wakati kabla hatujapiga kura mlisema maneno haya haya kuwa atashindwa lakini sasa hivi vibaraka wote ndiyo wanaopumulia mipira eti Lissu alikuwa anasema ataingiza watz barabarani lakini sasa hivi amekosa hata mtu mmoja wa kumwingiza barabarani. Tayari amenyooshwa!