Ikulu ya Marekani yadai Wapiganaji 30,000 wa Wagner Group wameuawa vitani Ukraine

Ikulu ya Marekani yadai Wapiganaji 30,000 wa Wagner Group wameuawa vitani Ukraine

Msemaji wa Ikulu ya #WhiteHouse John Kirby, amesema kundi hilo limepoteza Wapiganaji wake zaidi ya 9000 ndani ya wiki 1 huku likiendelea kuajiri wafungwa zaidi kutoka Magereza ya #Urusi wengi wao wakiwa hawana uzoefu na mafunzo ya Kivita.

Jeshi la #Ukraine limesema Wapiganaji wa Wagner ambao hawana mafunzo wamekuwa wakitangulizwa mbele kwa makundi makubwa jambo ambalo limekuwa rahisi kushambuliwa na kuuawa huku Urusi ikitelekeza majeruhi na maiti zao

#WagnerGroup ni Jeshi Binafsi ambalo limekuwa litumika katika Vita zinazoongozwa na Urusi ambapo miezi minne iliyopita Mtanzania #NemesTarimo aliripotiwa kufariki kwenye Mapigano Ukraine akiwa mwajiriwa wa kundi hilo.

===================

Over 30,000 mercenaries fighting for the Russian paramilitary Wagner Group have been killed or injured since the Ukraine war began, US officials say. White House spokesman John Kirby said the group had suffered significant losses in recent weeks, with about 9,000 fighters killed in action.

Wagner has recruited heavily in Russian prisons, and Mr Kirby said most casualties were untrained convicts. Despite the casualties, Wagner has made gains around the city of Bakhmut. Some of the fiercest fighting of the war has taken place around the eastern city, with Wagner mercenaries heavily involved in Russian efforts to capture it.

Ukrainian troops say Wagner fighters had been sent into attacks in large numbers over open ground, and a Ukrainian army spokesperson said Moscow had failed to evacuate wounded and dead soldiers - leading to "places where their bodies are just piled up".

Capturing Bakhmut could allow Russia to make advances to bigger cities further west, like Kramatorsk and Slovyansk.

However, Mr Kirby - the US National Security Council spokesman - suggested further advances could prove difficult given the gains made in Bakhmut had taken months to achieve and come at a "devastating cost that is not sustainable".

He also questioned the military significance of the city. "It is possible that they may end up being successful in Bakhmut, but it will prove of no real worth to them because it is of no real strategic value," Mr Kirby told reporters.

Elsewhere, UK intelligence officials have estimated that Russian regular forces and Wagner troops may have suffered between 175,000-200,000 casualties - including 40,000-60,000 deaths.

The high number of deaths was "almost certainly" due to "extremely rudimentary medical provision", the UK's defence ministry said. The Wagner Group was much smaller before the war, with just 5,000 fighters, most of whom were experienced former soldiers.

It started recruiting tens of thousands of fighters last year - largely from prisons, according to the US - as Russia had trouble finding troops for its invasion of Ukraine. Half of those convicts have probably been wounded or killed, UK officials say.

But last week, Mr Prigozhin, the group's founder, announced it would stop recruiting in prisons. The move followed longstanding tensions between Wagner and the Russian military. "The number of Wagner units will decrease, and we will also not be able to carry out the scope of tasks that we would like to," he said.

Mr Prigozhin has blamed Moscow's "monstrous bureaucracy" for slowing down progress in Ukraine, and accused the Russian army of unfairly taking credit for previous Wagner successes.

Wagner is believed to have started operations in 2014 in the annexed Crimean Peninsula and has since operated elsewhere in Ukraine, in Syria and across Africa. It has been accused of brutality and war crimes.

BBC
Pia mbona hawajasema ni wanajeshi wangapi wa Ukraine walio fariki? Au wino uliwaishia wakashindwa kuandika?
 
Ubaya wa jeshini au vitani hauruhusiwi rudi nyuma bila ruhusa ya CO wako.

Kuna wanajeshi wanawekwa kwenye defence line hawaruhusiwi ondoka
Brother hii inatokana na muundo wa jeshi na maamuzi ya uwanja wa medani, kwa mfano urusi wao muundo wao ni " Top down decision making system '' Yaani makamanda ambao wako front wanapokea order directly kutoka kwa wakubwa wao ambao wengine wanakuwa stationed kwenye commanding post. Hata ikitokea mmezungukwa mnaweza kudead au kutekwa kama amri haitoka juu kuwa mnapaswa kurudi nyuma.

Kumbuka mwanzo mwa uvamizi aliingia kwa mfumo wao wa " battalion tactical group ) hapa unakwenda na comprised units na regiment zote. Maamuzi kama haya yalipelekea st javelin zikapata umaarufu kwa kuvikaanga vifaru na magari ya urusi.

Hii ni tofauti na baadhi ya majeshi ambayo huwapa makamanda wa mstari wa mbele kufanya maamuzi kama withdrawing kama ikitokea mmezidiwa mapigo na adui.
 
Sasa si washinde kama wanapigana na wafugwa wasio na mafunzo?

Hawa wajinga badala waelekeze nguvu kwenye mapambano, wenyewe wanaelekeza nguvu kwenye propaganda!
Usitumie hasira ku argue maana utapoteza rationality ndugu. Huwezi kutenganisha vita na propaganda hasa unataka kupata morale victory ya askari na wananchi wako. Pia propaganda zinatumika kushusha morale ya adui yako kwa kumzushia taarifa za uongo au za kweli. Kwa mfano unaweza kuchapisha taarifa kuwa leo tumeoa battalion nzima ukaweka ushahidi wa uongo ili kumuogopesha adui.
 
Vitu vingine tutumie akili kama wanauawa wengi hivyo kwanini NATO wanawaogopa? Kwanini nchi kama Mali iliwafurumusha NATO (France) na kuwakaribisha Urusi (Wagner group)?

Embu tutumie akili bado asubuhi akili hazijachoka.
Wewe ndio ujaribu kutumia akili.Eti NATO inawaogopa wagner!!dunia nzima kuna utaratibu wa UN juu ya majeshi na wanaotakiwa kupigana vitani,sasa unakuwa na kundi ambalo halina mafunzo ya kijeshi ndio hayo ya kuchukua wafungwa magerezani na kuwapeleka vitani bila mafunzo yoyote!!hata kujua haki za mateka wa vitani hawajui wao ni pesa tu kwa aliyewakodi!!Huko bukinafaso mwezi dec wamefanya mauaji makubwa ya raia ,Huwezi ukajiuliza ni kwanini baada ya nchi nyingi za W.Africa kufanya mapinduzi mfululizo ndio wakamuona MRUSI kuwa ndio kimbilio lao?kwani mrusi/china wao kitu demokrasia na haki za binadamu hazina maana kwao.Ukanda wote ule wa SAHEL ni tabu tupu,badaye hata hao wagner watakimbia.
 
Toilet paper![emoji24][emoji24][emoji24]
 
Msemaji wa Ikulu ya #WhiteHouse John Kirby, amesema kundi hilo limepoteza Wapiganaji wake zaidi ya 9000 ndani ya wiki 1 huku likiendelea kuajiri wafungwa zaidi kutoka Magereza ya #Urusi wengi wao wakiwa hawana uzoefu na mafunzo ya Kivita.

Jeshi la #Ukraine limesema Wapiganaji wa Wagner ambao hawana mafunzo wamekuwa wakitangulizwa mbele kwa makundi makubwa jambo ambalo limekuwa rahisi kushambuliwa na kuuawa huku Urusi ikitelekeza majeruhi na maiti zao

#WagnerGroup ni Jeshi Binafsi ambalo limekuwa litumika katika Vita zinazoongozwa na Urusi ambapo miezi minne iliyopita Mtanzania #NemesTarimo aliripotiwa kufariki kwenye Mapigano Ukraine akiwa mwajiriwa wa kundi hilo.

===================

Over 30,000 mercenaries fighting for the Russian paramilitary Wagner Group have been killed or injured since the Ukraine war began, US officials say. White House spokesman John Kirby said the group had suffered significant losses in recent weeks, with about 9,000 fighters killed in action.

Wagner has recruited heavily in Russian prisons, and Mr Kirby said most casualties were untrained convicts. Despite the casualties, Wagner has made gains around the city of Bakhmut. Some of the fiercest fighting of the war has taken place around the eastern city, with Wagner mercenaries heavily involved in Russian efforts to capture it.

Ukrainian troops say Wagner fighters had been sent into attacks in large numbers over open ground, and a Ukrainian army spokesperson said Moscow had failed to evacuate wounded and dead soldiers - leading to "places where their bodies are just piled up".

Capturing Bakhmut could allow Russia to make advances to bigger cities further west, like Kramatorsk and Slovyansk.

However, Mr Kirby - the US National Security Council spokesman - suggested further advances could prove difficult given the gains made in Bakhmut had taken months to achieve and come at a "devastating cost that is not sustainable".

He also questioned the military significance of the city. "It is possible that they may end up being successful in Bakhmut, but it will prove of no real worth to them because it is of no real strategic value," Mr Kirby told reporters.

Elsewhere, UK intelligence officials have estimated that Russian regular forces and Wagner troops may have suffered between 175,000-200,000 casualties - including 40,000-60,000 deaths.

The high number of deaths was "almost certainly" due to "extremely rudimentary medical provision", the UK's defence ministry said. The Wagner Group was much smaller before the war, with just 5,000 fighters, most of whom were experienced former soldiers.

It started recruiting tens of thousands of fighters last year - largely from prisons, according to the US - as Russia had trouble finding troops for its invasion of Ukraine. Half of those convicts have probably been wounded or killed, UK officials say.

But last week, Mr Prigozhin, the group's founder, announced it would stop recruiting in prisons. The move followed longstanding tensions between Wagner and the Russian military. "The number of Wagner units will decrease, and we will also not be able to carry out the scope of tasks that we would like to," he said.

Mr Prigozhin has blamed Moscow's "monstrous bureaucracy" for slowing down progress in Ukraine, and accused the Russian army of unfairly taking credit for previous Wagner successes.

Wagner is believed to have started operations in 2014 in the annexed Crimean Peninsula and has since operated elsewhere in Ukraine, in Syria and across Africa. It has been accused of brutality and war crimes.

BBC
Chanzo BBC🤣🤣🤣 anyway kama wewe ni mtaalam wa kusoma language utagundua NATO wamekubali kushindwa kuulinda mji wa Bakhmut(sizitaki mbichi hizi) kwenye bandiko kuna lugha ya kujifariji kwasana
 
Marekani isiyompemda marekani ndo imzingumzie urusi
 
Hakuna maeneo mkuu ni vile hujui kinachoendelea, kule bakhmut Ukrean wamefanya ku-retreat ili jamaa waingie wamalizwe na ndivyo Ukraine wanavyofanya toka vita imeanza, na hayo maeneo ambayo russia wanasema wamecontroll sio full ni partial vita inaendelea
Kwa hiyo wewe ulichoeleza hapa ndo unachojua tusichokijua wengine?
 
Na hao Wagner ukiwapanga dhidi ya jeshi la USA, na wote wakawa na silaha sawa nani atapigwa?
Kwanza uwezekano wa Wagner kupata silaha sawasawa na jeshi la Urusi ni mkubwa sana, mwanzoni mwa operation Wagnerites wachache waliokuwa frontline na Kadyrovites walipewa silaha nzuri kuliko jeshi. Vita ilipokuwa sio ya kitoto, Kadyrovites wakaondoka kutoka frontline wakaachana na kujirekodi Tiktot na boss wao alirudi zake Chechnya kuishi kifahari, ila Prigozhin akaingia magerezani kufanya recruitment na kupata wapiganaji wapya ambao ni less skilled na less motivated. Ndio hawa sasa wanakuwa moped down en masse, hawapewi silaha bora kwa sababu ni wengi na less skilled.

Wagner silaha zote iko supplied na Russian MoD, fronts wanatofautiana na jeshi ila logistics centres ni zilezile hivyo kupata silaha similar uwezekano upo. Meanwhile hakuna namna Wagner watapata silaha sawa na Marekani, wanaweza ambulia kupata bunduki sawa ila artillery, radars, ndege na vingine hamna.
Na hawawezi kamwe kuwa na training sawa, hata training ya jeshi la Marekani na gharama yake ni kubwa kuliko training ya jeshi la Urusi lenyewe. So hakuna namna Wagner inakuwa on par with US.

Kasome Wagner ilipokutana na US forces kipi kilitokea. Battle of Khasham - Wikipedia


Nimetaka kuweka link ya Wagner wenyewe mwezi huu wakifanya anniversary ya 5 years hilo tukio walieleza ilivyokuwa ila nimeshindwa. Channel yao Telegram ni Grey Zone ila ni Kirusi itabidi ufanye translation. Kuna mambo yao mengi utayapata wanajadili maana Russian media inawapa uzito kidogo
 
Wamewahesabu vipi? Siku zote wamarekani wanapenda kujisifia kwa kukandia wengine kwamba wao so wajuzi wa vita ma silaha zao ni hafifu. Waliwahi kusema drone na silaha za Iran ni hafifu na duni...at the same time wanalia kama Mbwa chokoraa wakisikia Iran wanapeleka drone na makombora yao Urusi. The same to North Korea wanasema kule silaha zao ni mbovu outdated..at the same time North Korea anaendelea kurusha makombora Yao kupitia anga la Japan bila mifumo wanayoiita ya kileo ya modern world ya kijapan kufanya chochote. So don't trust red necks.
 
Ubaya wa jeshini au vitani hauruhusiwi rudi nyuma bila ruhusa ya CO wako.

Kuna wanajeshi wanawekwa kwenye defence line hawaruhusiwi ondoka
Hao sio wanajeshi wa Urusi ni wahalifu waliokuwa jela African be ware they will use for canon fodder like Tarimo don’t send your children to die and they don’t even respect black people in Russia racism is massive
 
Kwanza uwezekano wa Wagner kupata silaha sawasawa na jeshi la Urusi ni mkubwa sana, mwanzoni mwa operation Wagnerites wachache waliokuwa frontline na Kadyrovites walipewa silaha nzuri kuliko jeshi. Vita ilipokuwa sio ya kitoto, Kadyrovites wakaondoka kutoka frontline wakaachana na kujirekodi Tiktot na boss wao alirudi zake Chechnya kuishi kifahari, ila Prigozhin akaingia magerezani kufanya recruitment na kupata wapiganaji wapya ambao ni less skilled na less motivated. Ndio hawa sasa wanakuwa moped down en masse, hawapewi silaha bora kwa sababu ni wengi na less skilled.

Wagner silaha zote iko supplied na Russian MoD, fronts wanatofautiana na jeshi ila logistics centres ni zilezile hivyo kupata silaha similar uwezekano upo. Meanwhile hakuna namna Wagner watapata silaha sawa na Marekani, wanaweza ambulia kupata bunduki sawa ila artillery, radars, ndege na vingine hamna.
Na hawawezi kamwe kuwa na training sawa, hata training ya jeshi la Marekani na gharama yake ni kubwa kuliko training ya jeshi la Urusi lenyewe. So hakuna namna Wagner inakuwa on par with US.

Kasome Wagner ilipokutana na US forces kipi kilitokea. Battle of Khasham - Wikipedia


Nimetaka kuweka link ya Wagner wenyewe mwezi huu wakifanya anniversary ya 5 years hilo tukio walieleza ilivyokuwa ila nimeshindwa. Channel yao Telegram ni Grey Zone ila ni Kirusi itabidi ufanye translation. Kuna mambo yao mengi utayapata wanajadili maana Russian media inawapa uzito kidogo
Haiwezekan ikitokea Wagner na jeshi la urus wakapambana supply ya silaha +support ya ndege vita na mengineyo watapata sawa
 
Umejuaje NATO inawaogopa?
Vitu vingine tutumie akili kama wanauawa wengi hivyo kwanini NATO wanawaogopa? Kwanini nchi kama Mali iliwafurumusha NATO (France) na kuwakaribisha Urusi (Wagner group)?

Embu tutumie akili bado asubuhi akili hazijachoka.
 
Back
Top Bottom