Ikulu ya Marekani yadai Wapiganaji 30,000 wa Wagner Group wameuawa vitani Ukraine

Ikulu ya Marekani yadai Wapiganaji 30,000 wa Wagner Group wameuawa vitani Ukraine

Walikufa wanajeshi wangapi wa USA?
Silaha zipi na kiasi gani za USA zilikamatwa na Wagner?
Hizo ni propaganda, hio ni saikolojia ya vita.
Hao USA hawatosahau kichapo toka kwa WAGNER GROUP walichopewa Alleppo Syria
 
Kiufupi jeshi la Russia katika uwanja wa mapambano linaongozwa kisiasa zaidi.
Brother hii inatokana na muundo wa jeshi na maamuzi ya uwanja wa medani, kwa mfano urusi wao muundo wao ni " Top down decision making system '' Yaani makamanda ambao wako front wanapokea order directly kutoka kwa wakubwa wao ambao wengine wanakuwa stationed kwenye commanding post. Hata ikitokea mmezungukwa mnaweza kudead au kutekwa kama amri haitoka juu kuwa mnapaswa kurudi nyuma.

Kumbuka mwanzo mwa uvamizi aliingia kwa mfumo wao wa " battalion tactical group ) hapa unakwenda na comprised units na regiment zote. Maamuzi kama haya yalipelekea st javelin zikapata umaarufu kwa kuvikaanga vifaru na magari ya urusi.

Hii ni tofauti na baadhi ya majeshi ambayo huwapa makamanda wa mstari wa mbele kufanya maamuzi kama withdrawing kama ikitokea mmezidiwa mapigo na adui.
 
Msemaji wa Ikulu ya #WhiteHouse John Kirby, amesema kundi hilo limepoteza Wapiganaji wake zaidi ya 9000 ndani ya wiki 1 huku likiendelea kuajiri wafungwa zaidi kutoka Magereza ya #Urusi wengi wao wakiwa hawana uzoefu na mafunzo ya Kivita.

Jeshi la #Ukraine limesema Wapiganaji wa Wagner ambao hawana mafunzo wamekuwa wakitangulizwa mbele kwa makundi makubwa jambo ambalo limekuwa rahisi kushambuliwa na kuuawa huku Urusi ikitelekeza majeruhi na maiti zao

#WagnerGroup ni Jeshi Binafsi ambalo limekuwa litumika katika Vita zinazoongozwa na Urusi ambapo miezi minne iliyopita Mtanzania #NemesTarimo aliripotiwa kufariki kwenye Mapigano Ukraine akiwa mwajiriwa wa kundi hilo.

===================

Over 30,000 mercenaries fighting for the Russian paramilitary Wagner Group have been killed or injured since the Ukraine war began, US officials say. White House spokesman John Kirby said the group had suffered significant losses in recent weeks, with about 9,000 fighters killed in action.

Wagner has recruited heavily in Russian prisons, and Mr Kirby said most casualties were untrained convicts. Despite the casualties, Wagner has made gains around the city of Bakhmut. Some of the fiercest fighting of the war has taken place around the eastern city, with Wagner mercenaries heavily involved in Russian efforts to capture it.

Ukrainian troops say Wagner fighters had been sent into attacks in large numbers over open ground, and a Ukrainian army spokesperson said Moscow had failed to evacuate wounded and dead soldiers - leading to "places where their bodies are just piled up".

Capturing Bakhmut could allow Russia to make advances to bigger cities further west, like Kramatorsk and Slovyansk.

However, Mr Kirby - the US National Security Council spokesman - suggested further advances could prove difficult given the gains made in Bakhmut had taken months to achieve and come at a "devastating cost that is not sustainable".

He also questioned the military significance of the city. "It is possible that they may end up being successful in Bakhmut, but it will prove of no real worth to them because it is of no real strategic value," Mr Kirby told reporters.

Elsewhere, UK intelligence officials have estimated that Russian regular forces and Wagner troops may have suffered between 175,000-200,000 casualties - including 40,000-60,000 deaths.

The high number of deaths was "almost certainly" due to "extremely rudimentary medical provision", the UK's defence ministry said. The Wagner Group was much smaller before the war, with just 5,000 fighters, most of whom were experienced former soldiers.

It started recruiting tens of thousands of fighters last year - largely from prisons, according to the US - as Russia had trouble finding troops for its invasion of Ukraine. Half of those convicts have probably been wounded or killed, UK officials say.

But last week, Mr Prigozhin, the group's founder, announced it would stop recruiting in prisons. The move followed longstanding tensions between Wagner and the Russian military. "The number of Wagner units will decrease, and we will also not be able to carry out the scope of tasks that we would like to," he said.

Mr Prigozhin has blamed Moscow's "monstrous bureaucracy" for slowing down progress in Ukraine, and accused the Russian army of unfairly taking credit for previous Wagner successes.

Wagner is believed to have started operations in 2014 in the annexed Crimean Peninsula and has since operated elsewhere in Ukraine, in Syria and across Africa. It has been accused of brutality and war crimes.

BBC
Ni muda mzuri kwa NATO kuingia wenyewe sasa ili wakawapige hao Wagner wasio na mafunzo mazuri ya VITA

Maana kama tu Ukraine na udhaifu wake anaweza kuua 9000 wanajeshi wa Wagner naimani NATO baba lao anaweza kuwapiga Wagner hadi kuingia Urusi ndani ya mwezi vita ikaisha

NATO waingie kumsaidia Ukraine mazima mazima wasikae nyuma kumpatia silaha huku akiendelea kudhoofika mwenzao

Naamini kama ingekuwa ni Taifa lingine pale ulaya mfano Belarus ndio angeivamia Ukraine hvyo sa hizi hadi Raisi wao angekuwa ameshanyongwa.
 
Kwanza uwezekano wa Wagner kupata silaha sawasawa na jeshi la Urusi ni mkubwa sana, mwanzoni mwa operation Wagnerites wachache waliokuwa frontline na Kadyrovites walipewa silaha nzuri kuliko jeshi. Vita ilipokuwa sio ya kitoto, Kadyrovites wakaondoka kutoka frontline wakaachana na kujirekodi Tiktot na boss wao alirudi zake Chechnya kuishi kifahari, ila Prigozhin akaingia magerezani kufanya recruitment na kupata wapiganaji wapya ambao ni less skilled na less motivated. Ndio hawa sasa wanakuwa moped down en masse, hawapewi silaha bora kwa sababu ni wengi na less skilled.

Wagner silaha zote iko supplied na Russian MoD, fronts wanatofautiana na jeshi ila logistics centres ni zilezile hivyo kupata silaha similar uwezekano upo. Meanwhile hakuna namna Wagner watapata silaha sawa na Marekani, wanaweza ambulia kupata bunduki sawa ila artillery, radars, ndege na vingine hamna.
Na hawawezi kamwe kuwa na training sawa, hata training ya jeshi la Marekani na gharama yake ni kubwa kuliko training ya jeshi la Urusi lenyewe. So hakuna namna Wagner inakuwa on par with US.

Kasome Wagner ilipokutana na US forces kipi kilitokea. Battle of Khasham - Wikipedia


Nimetaka kuweka link ya Wagner wenyewe mwezi huu wakifanya anniversary ya 5 years hilo tukio walieleza ilivyokuwa ila nimeshindwa. Channel yao Telegram ni Grey Zone ila ni Kirusi itabidi ufanye translation. Kuna mambo yao mengi utayapata wanajadili maana Russian media inawapa uzito kidogo
Msingi wa swali langu nilitaka kukupima kama unauelewa wa kutosha kati ya Regular Army ya nchi na Private Military Contractors.

1. Kwa namna yoyote ile PMC haiwezi kuwa na weledi zaidi ya Regular Army ya nchi.

2. PMC uwaga wanatumika kwenye very specific assignments. Hata hao US walikuwa wanawatumia Blackwater kule Iraq, Syria etc, je Blackwater ni zaidi ya US Amry?

Ipo siku utakuja kusema kwamba waasi wa M23 ni zaidi ya JWTZ kisa tu kuna wanajeshi wa JWTZ waliuliwa kwenye peacekeeping missions kule Congo.
 
Ni muda mzuri kwa NATO kuingia wenyewe sasa ili wakawapige hao Wagner wasio na mafunzo mazuri ya VITA

Maana kama tu Ukraine na udhaifu wake anaweza kuua 9000 wanajeshi wa Wagner naimani NATO baba lao anaweza kuwapiga Wagner hadi kuingia Urusi ndani ya mwezi vita ikaisha

NATO waingie kumsaidia Ukraine mazima mazima wasikae nyuma kumpatia silaha huku akiendelea kudhoofika mwenzao

Naamini kama ingekuwa ni Taifa lingine pale ulaya mfano Belarus ndio angeivamia Ukraine hvyo sa hizi hadi Raisi wao angekuwa ameshanyongwa.
Yani marekani aingie vitani na urusi? Unajua NATO iliundwa ajili gani?[emoji1787] Urusi sio chato mkuu
 
Wewe ndio ujaribu kutumia akili.Eti NATO inawaogopa wagner!!dunia nzima kuna utaratibu wa UN juu ya majeshi na wanaotakiwa kupigana vitani,sasa unakuwa na kundi ambalo halina mafunzo ya kijeshi ndio hayo ya kuchukua wafungwa magerezani na kuwapeleka vitani bila mafunzo yoyote!!hata kujua haki za mateka wa vitani hawajui wao ni pesa tu kwa aliyewakodi!!Huko bukinafaso mwezi dec wamefanya mauaji makubwa ya raia ,Huwezi ukajiuliza ni kwanini baada ya nchi nyingi za W.Africa kufanya mapinduzi mfululizo ndio wakamuona MRUSI kuwa ndio kimbilio lao?kwani mrusi/china wao kitu demokrasia na haki za binadamu hazina maana kwao.Ukanda wote ule wa SAHEL ni tabu tupu,badaye hata hao wagner watakimbia.
DEMOKRASIA mfumo wa hovyo bora uzidi kufeli kila eneo

Waacheni WAGNA wawatwange MANAZI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza uwezekano wa Wagner kupata silaha sawasawa na jeshi la Urusi ni mkubwa sana, mwanzoni mwa operation Wagnerites wachache waliokuwa frontline na Kadyrovites walipewa silaha nzuri kuliko jeshi. Vita ilipokuwa sio ya kitoto, Kadyrovites wakaondoka kutoka frontline wakaachana na kujirekodi Tiktot na boss wao alirudi zake Chechnya kuishi kifahari, ila Prigozhin akaingia magerezani kufanya recruitment na kupata wapiganaji wapya ambao ni less skilled na less motivated. Ndio hawa sasa wanakuwa moped down en masse, hawapewi silaha bora kwa sababu ni wengi na less skilled.

Wagner silaha zote iko supplied na Russian MoD, fronts wanatofautiana na jeshi ila logistics centres ni zilezile hivyo kupata silaha similar uwezekano upo. Meanwhile hakuna namna Wagner watapata silaha sawa na Marekani, wanaweza ambulia kupata bunduki sawa ila artillery, radars, ndege na vingine hamna.
Na hawawezi kamwe kuwa na training sawa, hata training ya jeshi la Marekani na gharama yake ni kubwa kuliko training ya jeshi la Urusi lenyewe. So hakuna namna Wagner inakuwa on par with US.

Kasome Wagner ilipokutana na US forces kipi kilitokea. Battle of Khasham - Wikipedia


Nimetaka kuweka link ya Wagner wenyewe mwezi huu wakifanya anniversary ya 5 years hilo tukio walieleza ilivyokuwa ila nimeshindwa. Channel yao Telegram ni Grey Zone ila ni Kirusi itabidi ufanye translation. Kuna mambo yao mengi utayapata wanajadili maana Russian media inawapa uzito kidogo
Wargner Un skilled wamewatwanga UKRAINE pale SOLEDAR na bado wanachukua maeneo kila leo na wameikamatia pakubwa ARTEMOVSK

Sasa wagner na UKRAINE wapi ni UN skilled bado tu mmelemazwa na propaganda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msemaji wa Ikulu ya #WhiteHouse John Kirby, amesema kundi hilo limepoteza Wapiganaji wake zaidi ya 9000 ndani ya wiki 1 huku likiendelea kuajiri wafungwa zaidi kutoka Magereza ya #Urusi wengi wao wakiwa hawana uzoefu na mafunzo ya Kivita.

Jeshi la #Ukraine limesema Wapiganaji wa Wagner ambao hawana mafunzo wamekuwa wakitangulizwa mbele kwa makundi makubwa jambo ambalo limekuwa rahisi kushambuliwa na kuuawa huku Urusi ikitelekeza majeruhi na maiti zao

#WagnerGroup ni Jeshi Binafsi ambalo limekuwa litumika katika Vita zinazoongozwa na Urusi ambapo miezi minne iliyopita Mtanzania #NemesTarimo aliripotiwa kufariki kwenye Mapigano Ukraine akiwa mwajiriwa wa kundi hilo.

===================

Over 30,000 mercenaries fighting for the Russian paramilitary Wagner Group have been killed or injured since the Ukraine war began, US officials say. White House spokesman John Kirby said the group had suffered significant losses in recent weeks, with about 9,000 fighters killed in action.

Wagner has recruited heavily in Russian prisons, and Mr Kirby said most casualties were untrained convicts. Despite the casualties, Wagner has made gains around the city of Bakhmut. Some of the fiercest fighting of the war has taken place around the eastern city, with Wagner mercenaries heavily involved in Russian efforts to capture it.

Ukrainian troops say Wagner fighters had been sent into attacks in large numbers over open ground, and a Ukrainian army spokesperson said Moscow had failed to evacuate wounded and dead soldiers - leading to "places where their bodies are just piled up".

Capturing Bakhmut could allow Russia to make advances to bigger cities further west, like Kramatorsk and Slovyansk.

However, Mr Kirby - the US National Security Council spokesman - suggested further advances could prove difficult given the gains made in Bakhmut had taken months to achieve and come at a "devastating cost that is not sustainable".

He also questioned the military significance of the city. "It is possible that they may end up being successful in Bakhmut, but it will prove of no real worth to them because it is of no real strategic value," Mr Kirby told reporters.

Elsewhere, UK intelligence officials have estimated that Russian regular forces and Wagner troops may have suffered between 175,000-200,000 casualties - including 40,000-60,000 deaths.

The high number of deaths was "almost certainly" due to "extremely rudimentary medical provision", the UK's defence ministry said. The Wagner Group was much smaller before the war, with just 5,000 fighters, most of whom were experienced former soldiers.

It started recruiting tens of thousands of fighters last year - largely from prisons, according to the US - as Russia had trouble finding troops for its invasion of Ukraine. Half of those convicts have probably been wounded or killed, UK officials say.

But last week, Mr Prigozhin, the group's founder, announced it would stop recruiting in prisons. The move followed longstanding tensions between Wagner and the Russian military. "The number of Wagner units will decrease, and we will also not be able to carry out the scope of tasks that we would like to," he said.

Mr Prigozhin has blamed Moscow's "monstrous bureaucracy" for slowing down progress in Ukraine, and accused the Russian army of unfairly taking credit for previous Wagner successes.

Wagner is believed to have started operations in 2014 in the annexed Crimean Peninsula and has since operated elsewhere in Ukraine, in Syria and across Africa. It has been accused of brutality and war crimes.

BBC
Propaganda tu hizo za nchi za magharibi
 
Msingi wa swali langu nilitaka kukupima kama unauelewa wa kutosha kati ya Regular Army ya nchi na Private Military Contractors.

1. Kwa namna yoyote ile PMC haiwezi kuwa na weledi zaidi ya Regular Army ya nchi.

2. PMC uwaga wanatumika kwenye very specific assignments. Hata hao US walikuwa wanawatumia Blackwater kule Iraq, Syria etc, je Blackwater ni zaidi ya US Amry?

Ipo siku utakuja kusema kwamba waasi wa M23 ni zaidi ya JWTZ kisa tu kuna wanajeshi wa JWTZ waliuliwa kwenye peacekeeping missions kule Congo.
Jeshi la Urusi linazingatia huo msingi unaosema? Jeshi gani duniani huwa linafanya mobilization ya watu hawajawahi pigana kabisa kisha within 2 months wanakuwa frontline?

Hawa mobilised Russian forces waliotelekeza silaha Kherson bila hata kuziharibu unaona ni modern army. Wewe uliona wapi kwingine jeshi linaacha silaha very intact tena modern ili adui azichukue nzima nzima. Yani hata kumwagia gasoline kuzichoma moto walishindwa.

Kwani sasahivi kinachofanywa na hawa wawili kina tofauti gani, Wagner wameiteka Soledar kwa kupoteza wapiganaji wengi na vile vile Regular Army wamepigana na kushindwa Vuhledar mara ya pili baada ya kufeli tena November mwaka jana. At a certain time hizi ni armour za jeshi nahesabu 10 kwa pamoja zimeharibiwa sehemu moja haizidi hata uwanja wa mpira, hiyo ni modern army?
Urusi pale Vuhledar wanadrive into landmine.
01000000-0aff-0242-3dc1-08db0f3b7731_w1080_h608_s.jpg

Sasa kinachofanywa na Wagner kina tofauti gani na Regular, tena Wagner hawana artillery ya uhakika hawana air cover.
 
Wargner Un skilled wamewatwanga UKRAINE pale SOLEDAR na bado wanachukua maeneo kila leo na wameikamatia pakubwa ARTEMOVSK

Sasa wagner na UKRAINE wapi ni UN skilled bado tu mmelemazwa na propaganda

Sent using Jamii Forums mobile app
Neno less limetumika kufanya comparison ya Wagner walioanza vita na Wagner waliobebwa kutoka magerezani hawa kina Tarimo. Unategemea Tarimo mgombea ubunge mwaka 2020 awe mpiganaji sawasawa na Russian mariner aliyefukuzwa kwa matumizi ya madawa ya kulevya mwaka 2016 kisha akaingia Wagner na kwenda Syria, kisha akaingia Ukraine 2022?
 
Hizo ni propaganda, hio ni saikolojia ya vita.
Hao USA hawatosahau kichapo toka kwa WAGNER GROUP walichopewa Alleppo Syria
Unajifurahisha. Kuna uwezekano Wagner hawakuona hata mwanajeshi mmoja wa Marekani. Kwanza intelligence ya Marekani iliwaona Wagner mapema, zinaandaliwa AH-64 Apache na drones na gunship nyingine AC-130. Artillery ndio ilianza.

US Marines na Green Berets 40 hakuumia hata mmoja wakati Wagner walikuwa around 500. Walichoachiwa ni kurudi baadae kuokota maiti za wenzao. Kwanza ilikuwa usiku Marekani wanapigana kwa thermal na night vision hao wenzako wazitolee wapi. Video za Wamarekani nimezikosa na hata hivyo utazikataa, nakupa picha za Wagner wenyewe wakijutia ujinga wao, hiyo frame ya mwisho unaona kilichobaki ni helmeti. Russia iliwauza haikuwapa air cover.
20230219_073307.jpg
20230219_073251.jpg
20230219_073249.jpg
20230219_073247.jpg
20230219_073245.jpg
 
Hivi marekani ndo anapigana vita ukraine, mbona kama yupo well informed na hizi ishu kuliko hata ukraine mwenyewe
 
Blackwater au makampuni mengine ya ulinzi ya Marekani hayaendi mstari wa mbele kupigana kama ilivyo kwa Wagner na Urusi.

Hao Blackwater walikuwa wanafanya kazi za ulinzi wa makambi, viwanja vya ndege, VIP protection na kusafirisha vifurushi. Hawakuwa jeshi linalopigana katika uwanja wa mapambano kama mamluki wa Wagner.
Usichanganye mambo.
Msingi wa swali langu nilitaka kukupima kama unauelewa wa kutosha kati ya Regular Army ya nchi na Private Military Contractors.

1. Kwa namna yoyote ile PMC haiwezi kuwa na weledi zaidi ya Regular Army ya nchi.

2. PMC uwaga wanatumika kwenye very specific assignments. Hata hao US walikuwa wanawatumia Blackwater kule Iraq, Syria etc, je Blackwater ni zaidi ya US Amry?

Ipo siku utakuja kusema kwamba waasi wa M23 ni zaidi ya JWTZ kisa tu kuna wanajeshi wa JWTZ waliuliwa kwenye peacekeeping missions kule Congo.
 
Jeshi la Urusi linazingatia huo msingi unaosema? Jeshi gani duniani huwa linafanya mobilization ya watu hawajawahi pigana kabisa kisha within 2 months wanakuwa frontline?

Hawa mobilised Russian forces waliotelekeza silaha Kherson bila hata kuziharibu unaona ni modern army. Wewe uliona wapi kwingine jeshi linaacha silaha very intact tena modern ili adui azichukue nzima nzima. Yani hata kumwagia gasoline kuzichoma moto walishindwa.

Kwani sasahivi kinachofanywa na hawa wawili kina tofauti gani, Wagner wameiteka Soledar kwa kupoteza wapiganaji wengi na vile vile Regular Army wamepigana na kushindwa Vuhledar mara ya pili baada ya kufeli tena November mwaka jana. At a certain time hizi ni armour za jeshi nahesabu 10 kwa pamoja zimeharibiwa sehemu moja haizidi hata uwanja wa mpira, hiyo ni modern army?
Urusi pale Vuhledar wanadrive into landmine.
View attachment 2522476
Sasa kinachofanywa na Wagner kina tofauti gani na Regular, tena Wagner hawana artillery ya uhakika hawana air cover.
UKRAINE wanabeba vijana mitaani wanawamobilise kilazima

Hawa sidhanii kama wanawapitisha hata kwenye hio miezi miwili ya mazoezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Neno less limetumika kufanya comparison ya Wagner walioanza vita na Wagner waliobebwa kutoka magerezani hawa kina Tarimo. Unategemea Tarimo mgombea ubunge mwaka 2020 awe mpiganaji sawasawa na Russian mariner aliyefukuzwa kwa matumizi ya madawa ya kulevya mwaka 2016 kisha akaingia Wagner na kwenda Syria, kisha akaingia Ukraine 2022?
Hawawezi kua sawa

Lakini awali hukulisema hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom