Unajua Tanzania tumelala sana!Aidha taasisi ya vyakula na dawa imesema kuwa dawa hii imeonesha maajabu M akubwa ya kutibu corona nchini humo na kulishauri shirika la WHO kuuidhinisha dawa hii kuwa dawa ya kutibu corona duniani
Kwa hiyo Maprofesa wa Africa kazi yao ni kuandika dozi tuu na sio kugundua? Hihihihihi... mchina aanze kuifyatua sasa am-overtake US kwa u-super power, itamtoa sana hii. Maprofesa Afrika kaeni mkao wa kuandika dozi dawa imepatikana.
Si yule mpiga vyungu kutoka Chattle?hii habari haitawafurahisha CHADEMA
This is fake news ,Acha kusambaza taarifa za Uongo, hizi nitabia za kiwaki
Active delete this thread immediate.
This is fake news ,Acha kusambaza taarifa za Uongo, hizi nitabia za kiwaki
Active delete this thread immediate.
Huyo Madagascar alisubiri nn kuisambaza Africa hio dawaWa Madagascar alipotangaza amepata dawa na raia wanapona waafrika wenzie mmeungana na wazungu kuisubiri ya wazungu na sasa mnawashukuru
Alieturoga amefanikiwa sana.
Labda wanaombea corona isipate dawa ili uchaguzi usiwepohii habari haitawafurahisha CHADEMA
3x2 unywe maji mengi!... mchina aanze kuifyatua sasa am-overtake US kwa u-super power, itamtoa sana hii. Maprofesa Afrika kaeni mkao wa kuandika dozi dawa imepatikana.
Nadhani weye ndo unaelewa kuliko wachangiaji wote
πππHahah umeamua kutusema mzee baba.
Immediately.This is fake news ,Acha kusambaza taarifa za Uongo, hizi nitabia za kiwaki
Active delete this thread immediate.
Alizuiwa kufanya hivyoHuyo Madagascar alisubiri nn kuisambaza Africa hio dawa
Mimi siamini kwenye zuio Kama dhamira ipoAlizuiwa kufanya hivyo
Wa Madagascar alipotangaza amepata dawa na raia wanapona waafrika wenzie mmeungana na wazungu kuisubiri ya wazungu na sasa mnawashukuru
Alieturoga amefanikiwa sana.