Ikulu Yaita Waandishi Wa Habari kuwaonesha Hati Ya Muungano

Ikulu Yaita Waandishi Wa Habari kuwaonesha Hati Ya Muungano

It is beyond unfortunate that our nation calls upon the best policy makers it could find to decide the future of our nation, the best these guys could do, is deteriorate into these pettiness. I have lost all respect i had for Lissu, as a politician and as an academician. He is more empty headed than i originally thought of him. His hot headed mannerism is not doing him or CDM any favors ATM. So, this is what we are supposed to believe, Lissu, knows best about what transpired 50 years ago better than people who were actually there to witness the unfolding of events. Lissu, wants everyone to believe, the UN, the OAU and all the International apparatus have been fooled for 50 years to believe into the existence of a nation that never was. Lissu, wants everyone to believe that, for whatever reason, JKN and his team together with ZNZ compatriots signed hot air and celebrated fake union for 50 years. What's even sad is, everyone stops what they are doing and give such a guy audience to puke out all these nonsense accusations.And it tells a lot of the state we are as a nation. STUCK and ready to believe in any form of False hope. This was supposed to be the time we discuss how our grandchildren will benefit from the best governance put forward by their great grand fathers/mothers. This was supposed to be the time we left something as a generation of Tanzanians who had a chance to fix something and we damn gave our absolute best to fix it. As a citizen of this great Nation of Tanzania, I am utterly disappointed
 
attachment.php

attachment.php



Ukiangalia hati hii iliyotolewa, na picha hii, ambayo wengine wanadhani ndiyo kumbukumbu ya utiaji saini wa hati hii, yafuatayo yanatia mashaka:


1. Mkono ulioandika: 22nd siyo mkono ulioandika APRIL, kutokana na utofauti wa miandiko au uumbaji wa herufi


2. Chini ya Saini ya Mwalimu, kuna mstari ambao umefutika kidogo, kuashiria kuchoka kwa karatasi pamoja na wino, lakini mstari jinsi ulivyochoka unatia mashaka, kwa sababu ya ANGLE. kwani uchovu (deterioration) umefuata mstari sio Karatasi.


3. Kama kuna madai kwamba picha hii ndiyo kumbukumbu ya kusaini hati hii iliyotolewa, huo sio ukweli. Kulingana na picha hii, kwa MKAO (Positioning) ya
wahusika yaani Mwalimu Julius Nyerere na Abeid Karume, ni dhahiri kwamba Mwalimu Nyerere alisaini upande wa KULIA na Abeid Karume alisaini KUSHOTO, Sasa kuwa makini kumuangalia Mwalimu Nyerere. Angalia Picha kwa makini, angalia mkao wa mikono yao, pia waweza kujaribu kuifanya wewe mwenyewe kujiridhisha.
Pia tazama mtu aliyeko kulia kwa Mwalimu Nyerere, angalia mwelekeo wa macho yake (direction of his eyes) kwenye Karatasi ni upande gani.


4. Typewriter za nyakati hizo zilikuwa hazina uwezo wa kuweka space, ila ungeweza kutumia dotted line (.............) au dashed line (----------) kama hizo dotted au dashed line zimefutika kutokana na muda mrefu, basi na ile alama ya mkato (comma) (,) baada ya neno APRIL nayo ingefutika.


5. Neno "me" la mwisho katika neno Karume kwenye saini liko chini ya mstari kutia mashaka limeongezwa, na maneno yalikuwa yanaungwa katika saini yake wakati kwenye "me" haina hicho kiungo.

It is beyond unfortunate that our nation calls upon the best policy makers it could find to decide the future of our nation, the best these guys could do, is deteriorate into these pettiness. I have lost all respect i had for Lissu, as a politician and as an academician. He is more empty headed than i originally thought of him. His hot headed mannerism is not doing him or CDM any favors ATM. So, this is what we are supposed to believe, Lissu, knows best about what transpired 50 years ago better than people who were actually there to witness the unfolding of events. Lissu, wants everyone to believe, the UN, the OAU and all the International apparatus have been fooled for 50 years to believe into the existence of a nation that never was. Lissu, wants everyone to believe that, for whatever reason, JKN and his team together with ZNZ compatriots signed hot air and celebrated fake union for 50 years. What's even sad is, everyone stops what they are doing and give such a guy audience to puke out all these nonsense accusations.And it tells a lot of the state we are as a nation. STUCK and ready to believe in any form of False hope. This was supposed to be the time we discuss how our grandchildren will benefit from the best governance put forward by their great grand fathers/mothers. This was supposed to be the time we left something as a generation of Tanzanians who had a chance to fix something and we damn gave our absolute best to fix it. As a citizen of this great Nation of Tanzania, I am utterly disappointed

Kimweri embu tuache wengine tusubiri, hakuna kinachofichika chini ya jua.
 
Hii ni "COPY" ...

attachment.php

It is beyond unfortunate that our nation calls upon the best policy makers it could find to decide the future of our nation, the best these guys could do, is deteriorate into these pettiness. I have lost all respect i had for Lissu, as a politician and as an academician. He is more empty headed than i originally thought of him. His hot headed mannerism is not doing him or CDM any favors ATM. So, this is what we are supposed to believe, Lissu, knows best about what transpired 50 years ago better than people who were actually there to witness the unfolding of events. Lissu, wants everyone to believe, the UN, the OAU and all the International apparatus have been fooled for 50 years to believe into the existence of a nation that never was. Lissu, wants everyone to believe that, for whatever reason, JKN and his team together with ZNZ compatriots signed hot air and celebrated fake union for 50 years. What's even sad is, everyone stops what they are doing and give such a guy audience to puke out all these nonsense accusations.And it tells a lot of the state we are as a nation. STUCK and ready to believe in any form of False hope. This was supposed to be the time we discuss how our grandchildren will benefit from the best governance put forward by their great grand fathers/mothers. This was supposed to be the time we left something as a generation of Tanzanians who had a chance to fix something and we damn gave our absolute best to fix it. As a citizen of this great Nation of Tanzania, I am utterly disappointed

Hi Kimweri mie tena nimekuita uone, mie nasubiri ukweli...
 
Kimweri embu tuache wengine tusubiri, hakuna kinachofichika chini ya jua.
Unasubiri kitu gani ndugu yangu?kuambiwa muungano ni feki au? Alichofanya huyu Tundu na wapuuzi wanaodai hati hawana tofauti na Mtoto aliyezaliwa kwenye na wazazi, kisha baada ya kukua,baada ya kulelewa vizuri na hawa wazazi, anarudi na kuwaita sio wazazi wake kwa kuwa hawajamuonesha cheti cha ndoa yao hao wazazi wawili. Toto tundu hili liende mbali zaidi na kudai kuwa wazazi wake ni wasanii kwa kuwa hawajawahi kuweka wazi cheti hiki cha ndoa, na hata kule kanisani wanakohifadhi cheti hajakiona kwani yule padri aliyeenda kumuuliza kuhusu vyeti vya ndo vilivyotolewa miaka 50 iliyopita hajamuonesha chochote cha maana. Kutokana na hilo basi toto tundu limeamua kuwa baba yake ameishi maisha ya uongo na udanganyifu, na alikuwa mlaghai. Toto tundu hili linaendelea kudai kuwa lenyewe lina-akili na busara mingi sana, hivyo lazima liseme ukweli. Lugha niliyotumia hapo juu si ya kistaarabu lakini ndio hali halisi ya upuuzi unaopigiwa kelele na hawa wansasiasa wetu. What puzzles me beyond belief, is ifthis chap is so convinced the Union is a sham, why didn't he sue the shit out of of it? isn't he this competent lawyer?speaking of which, what country does he put his oath on for all these years when he conducts his daily business in courts? If this man is so clean and full of integrity, why the hell is he even a Member of parliament of this fake country?am pretty sure he has a driver's license of the fake country, owns property in the name of a fake country, and probably he took his ignorant b*t to Dodoma by paying for for fuel using fake country's money.
 
nyerere-karume-b01.jpg

Baba wa Taifa,Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere(kushoto) akibadilishana na Hayati Sheikh Abeid Amani Karume(kulia) source: Mwalimu Nyerere | News and Highlights: This is what Nyerere, Karume agreed on Tanzania

nyerere_karume_and_moyo_thumb.jpg

Mzee Karume (Kushoto) Mwalimu Nyerere (kati) Hassan Nassor Moyo (kulia)

kawawa_moyo_and_msekwa_thumb.jpg

Kutoka shoto Balozi Job Lusinde, Rashid, Kawawa, Nassoro Moyo (kati) Pius Msekwa (kulia)

MUUNGANO.jpg

Mzee Salum Rashid , Katibu wa Baraza la Mapinduzi 1964

Kuna wazee wetu kibao ambao wako hai kama Job Lusinde, Pius Msekwa, Hassan Nassoro Moyo, Mzee Salum Rashid, ....... nk wote hawa waliokuwa karibu na Mwl. Nyerere na Mzee Abeid Karume mwaka 1964 na kushiriki katika shughuli ya kuuasisi Muungano (sherehe, Bunge la Tanganyika na Baraza la Mapinduzi), wote inaelekea kutokana na 'usiri' hawajaiona hati ya Muungano kipindi hicho cha 1964, je sasa wanaweza kufunguka na kutupa mawil matatu kuhusu hati hii iliyoonyeshwa waandishi habari wasiokuwa na ujasiri wa kuuliza maswali kama hapa Jamiiforums na katika Bunge la Katiba
 
nyerere-karume-b01.jpg

Baba wa Taifa,Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere(kushoto) akibadilishana na Hayati Sheikh Abeid Amani Karume(kulia) source: Mwalimu Nyerere | News and Highlights: This is what Nyerere, Karume agreed on Tanzania

nyerere_karume_and_moyo_thumb.jpg

Mzee Karume (Kushoto) Mwalimu Nyerere (kati) Hassan Nassor Moyo (kulia)

kawawa_moyo_and_msekwa_thumb.jpg

Kutoka shoto Balozi Job Lusinde, Rashid, Kawawa, Nassoro Moyo (kati) Pius Msekwa (shoto)

MUUNGANO.jpg

Mzee Salum Rashid , Katibu wa Baraza la Ma....
nitakuelewa kama huo utumbo ulishapelekwa UN...
Article 102
1. Every treaty and every international
agreement entered into by any Member of the
United Nations after the present Charter
comes into force shall as soon as possible be
registered with the Secretariat and published
by it.
2. No party to any such treaty or international
agreement which has not been registered in
accordance with the provisions of paragraph 1
of this Article may invoke that treaty or
agreement before any organ of the United
Nations.
 
nitakuelewa kama huo utumbo ulishapelekwa UN...
Article 102
1. Every treaty and every international
agreement entered into by any Member of the
United Nations after the present Charter
comes into force shall as soon as possible be
registered with the Secretariat and published
by it.
2. No party to any such treaty or international
agreement which has not been registered in
accordance with the provisions of paragraph 1
of this Article may invoke that treaty or
agreement before any organ of the United
Nations.

Maswali haya ni vizuri uwaulize UN kama nao ni wababishaji waliokubali kuwa na representation ya Tanzania kwenye mjengo wao bila kufuata article hiyo yao ya 102.
 
Kimweri unataka kutuaminisha na kutupotosha kwa kumwona Tundu lissu ni mabaya na mimi najua bila tundu lissu kuongea mambo yale hata wewe usingepata ujasiri wowote wa kuanza kutetea muungano ambao haukuridhiwa
hebu jiulize maswali haya
1 kwa nini kamati ilipoomba hati ililetewa hati nyingine ambayo ni tofauti iliyoonyeshwa jana?
2 kwa nini serikali ikubali kuadhirishwa kiasi hicho ili hali uthiitisho inao?
3 kwa nini hati hiyo haikuwasilishwa UN?

 
Last edited by a moderator:
Kwa usiri huu, nafikiri kuna haja ya kuona hati ya Tanganyika. Huenda nako kuna mambo ya ajabuajabu tu. Haiwezekani nyaraka zinazowahusu wananchi ziwe na utata kiasi hichi.

Na huenda hati ya muungano wanayo ila hofu yao ni yale yaliyoandikwa ndani ndio hawataki watu wayaone.
 
kwa nini tarehe na mwezi havikuchapwa wakati vilijulikana?
Kuna mtu kajaza tarehe na sahihi ya Karume, kwa sababu peni ya Nyerere ya blue ya Karume nyeusi.

Au ni kama wao wenyewe walijaza, nataka kujua, nani alijaza tarehe, Nyerere au Karume?

Na kwa nini pembeni ya kila sahihi hakuna tarehe?
 
uropokaji wa tundu lissu ni hatari sana kwa usalama wa nchi yetu na kwa usalama wake pia..ngoja tusubiri tuone
 
Then another step kuona kama hao wawakilshi walipigiwa kura, na wakati wanaenda bungeni walioga n.k #cheap politics[/QUOTE
]
Jaribu kupima na minyoo huwa inadumaza uwezo wa kufikiri baada ya hapo usile matunda kama nyani we si nyani ni sokwe
 
Taarifa nilizozipata muda huu ni kuwa Waandishi wa habari wameitwa Ikulu na Katibu Mkuu Kiongozi lengo ni kuwaonyesha Hati Ya Muungano na kukata mzizi wa Fitina Kwa wajumbe wa bunge la Katiba. Tutawajulisha hapa hapa...


attachment.php


Hii ni sehemu ya Mkataba wa Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar...


samahani mkuu naomba kuuliza,hivi waandishi ndio walioomba hii hati au wajumbe wa bunge la katiba?
 
Aina ya karatasi iliyotumika?
Kalamu ni speedo kwa mwandiko au zile za wino wa kibakuli?
Maana kila zama na mambo yake.

Jamani....
Mnapenda kuchokonoooooooa
Ukimchokonoa Pweza hatolika
Sasa mnataka Pinda atoe chozi tena?
Kubalini jamani....
Loh!
 
Anasema waandishi wapige picha vizuri na hii hati haijachakachuliwa kama leo ambavyo baadhi ya wajumbe walivyoshtuka baada ya kuambiwa kuwa hati ipo na italetwa bungeni, kila mtu aangalie sahihi ya mwalimu nyerere na karume, anawaita watu wawili waje wapewe nakala ya hati hiyo ili wawaonyeshe wananchi kesho kwenye vyombo vyao vya habari magazeti au tv, anawaonyesha mambo ya muungano na wanahabari wanayapiga picha na sasa anawaonyesha ukurasa wa mwisho wa hati hiyo.

Waandishi wa TBCCM1 wanaijua saini ya Karume hadi wajue iliyopo kwenye makaratasi siyo feki?!
 
Kama wana siasa wote wangelikuwa wanafikiria hivyo mbona tungesogea mbali sana. Wanakomaa na hoja za kuongezeana vyeo tu...serikali tatu!

Kwani serikali mbili hazigawi vyeo?!
Unaweza kunambia kazi ya Prof. Mwandosya?!
Pili, ni kwa nini unadhani serikali tatu zitakuwa na vyeo vyingi kuliko tatu na vichache kuliko moja?!
 
Hoja ya hati ya Muungano ni hoja muflisi kwa kweli.. sijui kwanini watu wasomi wameing'ang'ania hii! Hivi uhalali wa Muungano unategemea uwepo wa haki ya Muungano? Je kama cheti cha ndoa au pete ya ndoa imepotea ina maana ndoa haina uhalali? Hivi uhalali wa mkataba wowote unategemea uwepo wa nyaraka za mkataba huo hasa kama pande zote zinakubaliana kuwa mkataba ulisainiwa na ushahidi wa watu kusaini na yaliyomo mwenye hiyo hati yanajulikana?

Tunataka kujua yaliyomo kwenye hati hiyo (content), halafu ndipo tutajua kama waliyokubaliana yalifuatwa au yalibadilishwa, na kama ubadilishaji huo ulifuata utaratibu?
 
hawa viongoz nunda kweli!

mivutano ya muungano haijaanza jana wala leo; ni wa mda mrefu, sasa kwa nini hiyo hat ya muungano kipind cha nyuma wasiianike peupe ili kuondoa\kuepuka hizo "DHANA POTOFU" mpaka pale wanavyobanwa ndo waje waseme "ULIKUWEPO"

its nonesense
 
Hoja ya hati ya Muungano ni hoja muflisi kwa kweli.. sijui kwanini watu wasomi wameing'ang'ania hii! Hivi uhalali wa Muungano unategemea uwepo wa haki ya Muungano? Je kama cheti cha ndoa au pete ya ndoa imepotea ina maana ndoa haina uhalali? Hivi uhalali wa mkataba wowote unategemea uwepo wa nyaraka za mkataba huo hasa kama pande zote zinakubaliana kuwa mkataba ulisainiwa na ushahidi wa watu kusaini na yaliyomo mwenye hiyo hati yanajulikana?

Mzee Mwanakijiji

Sikutarajia ati ungefananisha muungano wa Tanganyika na Zanzibar na ndoa baina ya mwanamume na mwanamke. Kwa mfano, kati ya Tanganyika na Zanzibar, ni nani mwanamume na nani ni mwanamke? Sikutarajia Mzee Mwanakijiji ungethubutu kutumia mfano huu mfu.

Bado siamini ati Mzee Mwanakijiji unahoji kwa nini Watetezi wa Tanganyika wahoji uhalali wa muungano? Tangu lini Mzee Mwanakijiji hujui kuwa problematizing the normal ndio hujuza uimara ama ubovu wa normality? Tangu lini hulijui hili?

Ama Mzee Mwanakijiji unaamini malengo ya wachache sio kukuza demokrasia bali kubadilisha dola unayoitumikia hivyo kukosa mkate wako?
 
Back
Top Bottom