Ikulu yawajibu Maaskofu wa Pentekoste kuhusu Wajumbe wa Bunge la Katiba

ndio ni wapuuzi ....kwani uwakilishi kwa wakristo upo..... period.....
......kwa hiyo ndio nyinyi maaskofu wapuuzi mliowaagiza waumini wenu wamuue Mabina eeh?.......wapuuzi kabisa....sijui ni elimu dunia gani mliyopitia........

Duuh! ni vizuri kufikiri zaid kabla ya kutamka, kuwaita hawa watu kuwa ni wapuuzi inaweza kuwa c vema sana, hivi tuna uhakika gani na kile Ikulu inadai, kwan hii c mara ya kwanza watu hawa kupuuzwa.
MUNGU IREHEMU TANZANIA
 
Kwani wanaenda kutunga katiba ya madhehebu ya dini kule?? Tukianza kila dhehebu lilalamike kupeleka wawakilishi itakuwa jambo la ajabu sana... maana waislamu nao watadai wajumbe wa Sunni, shiya, ahmadia, nk..... issue hapo ni kwamba, viongozi wa dini wapo wa kutosha kule bungeni.... watapeleka mawazo yao...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…