Tangu rais aende kwenye mkutano wa Davos nimekuwa nafuatilia mafanikio ya ziara hiyo kiuchumi bila mafanikio.
Kila taarifa inayotolewa na Ikulu mitandaoni, haina maelezo ya manufaa zaidi ya Rais kasimama na huyu, akiwa mkutanoni, anapewa zawadi, n.k. Hatusikii kazungumza lipi na nani la manufaa ya kiuchumi.
Kama hakuna manufaa ya ziara ya Rais, alikwenda kufanya nini? Mbona Museveni alikua arabuni na mikataba ya kibiashara?
Nadhani ifikie kiwango cha viongozi wetu pia waongozwe. Hatuhitaji kuona picha za rais na wazungu aliokutana nao.
Kila taarifa inayotolewa na Ikulu mitandaoni, haina maelezo ya manufaa zaidi ya Rais kasimama na huyu, akiwa mkutanoni, anapewa zawadi, n.k. Hatusikii kazungumza lipi na nani la manufaa ya kiuchumi.
Kama hakuna manufaa ya ziara ya Rais, alikwenda kufanya nini? Mbona Museveni alikua arabuni na mikataba ya kibiashara?
Nadhani ifikie kiwango cha viongozi wetu pia waongozwe. Hatuhitaji kuona picha za rais na wazungu aliokutana nao.