Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
CCM ni mali ya baba zao na familia zao. Watanzania ni wajinga sana ndio maana wanawadharau.
Hata kama inasemekana Tiss na tume huwa wanaiba na kuisaidia CCM kuiba uchaguzi lakini wanadhibitiwa kirahisi sana.
Kuwa na wasimamizi waaminifu wasiohongeka kuanzia ngazi ya kata, jimbo mpaka taifa.
Kupinga dharau za timu Chalinze na genge lao la air Chalinze linavyowadharau watanzania.
#2025 mapema tu mafisadi hawatoboi.
Hata kama inasemekana Tiss na tume huwa wanaiba na kuisaidia CCM kuiba uchaguzi lakini wanadhibitiwa kirahisi sana.
Kuwa na wasimamizi waaminifu wasiohongeka kuanzia ngazi ya kata, jimbo mpaka taifa.
Kupinga dharau za timu Chalinze na genge lao la air Chalinze linavyowadharau watanzania.
#2025 mapema tu mafisadi hawatoboi.