johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tunakumbushana tu kwamba kabla maaskofu Watatu na Mufti hawajamfata Mbowe gerezani Makamu Mwenyekiti Tundu Lisu alishapeleka ombi la Freeman Mbowe na Wafungwa wengine wa kisiasa waachiwe
Rais Samia alikutana na Tundu Lisu nchini Ubelgiji na ndipo Tundu Lisu alipomuomba Rais amwachilie Mbowe kwani Chadema haiwezi kufanya mazungumzo yoyote na CCM ilhali Mwenyekiti wao yuko magereza
Mlale unono ๐
Una maana Lissu ni chawa wa mama siyo?Tunakumbushana tu kwamba kabla maaskofu Watatu na Mufti hawajamfata Mbowe gerezani Makamu Mwenyekiti Tundu Lisu alishapeleka ombi la Freeman Mbowe na Wafungwa wengine wa kisiasa waachiwe
Rais Samia alikutana na Tundu Lisu nchini Ubelgiji na ndipo Tundu Lisu alipomuomba Rais amwachilie Mbowe kwani Chadema haiwezi kufanya mazungumzo yoyote na CCM ilhali Mwenyekiti wao yuko magereza
Mlale unono ๐
Lkn hakusema aje kuwa chawaTunakumbushana tu kwamba kabla maaskofu Watatu na Mufti hawajamfata Mbowe gerezani Makamu Mwenyekiti Tundu Lisu alishapeleka ombi la Freeman Mbowe na Wafungwa wengine wa kisiasa waachiwe
Rais Samia alikutana na Tundu Lisu nchini Ubelgiji na ndipo Tundu Lisu alipomuomba Rais amwachilie Mbowe kwani Chadema haiwezi kufanya mazungumzo yoyote na CCM ilhali Mwenyekiti wao yuko magereza
Mlale unono ๐
PointTunakumbushana tu kwamba kabla maaskofu Watatu na Mufti hawajamfata Mbowe gerezani Makamu Mwenyekiti Tundu Lisu alishapeleka ombi la Freeman Mbowe na Wafungwa wengine wa kisiasa waachiwe
Rais Samia alikutana na Tundu Lisu nchini Ubelgiji na ndipo Tundu Lisu alipomuomba Rais amwachilie Mbowe kwani Chadema haiwezi kufanya mazungumzo yoyote na CCM ilhali Mwenyekiti wao yuko magereza
Mlale unono ๐
Ahsante sana๐
Alikutana na Rais SamiaUnamaanisha Lissu alikutana na Samia
Lissu anasema haya yalikuwa ni mapendekezo tu kwenda kwenye maridhiano, aliporudi akakuta hakuna hata document za vikao na mambo waliyokubaliana, wakaanza upya CCM wakakimbia, na bado Mwamba akampa tuzo Mwenyekiti wao.Ahsante sana๐
Hiyo Namba 6 ndio Maridhiano halafu Mwamba Mbowe akayateka peke yake ๐ผ
Kama hii ni kweli Mbona huyo Lisu juzi kasema hakuna maridhiano, na hajui walikuwa wanaridhiana nini?
Kwanza sidhani ni sawa kumuita Lissu ana ugonjwa wa akili, siwezi kukuiyta wewe hivyo, sikiliza alichosema na kumwelewa.Kama hii ni kweli Mbona huyo Lisu juzi kasema hakuna maridhiano, na hajui walikuwa wanaridhiana nini?
Huyu mtu atakauwa mgonjwa wa akili.
Lisu aanzishe chama chake cha mihemko, abebe na nyomi lake waende huko.