Ikumbukwe Tundu Lisu alipokutana na Rais Samia Ubelgiji ndiye alimuomba awaachilie Wafungwa wa kisiasa wa CHADEMA akiwemo Mbowe!

Ikumbukwe Tundu Lisu alipokutana na Rais Samia Ubelgiji ndiye alimuomba awaachilie Wafungwa wa kisiasa wa CHADEMA akiwemo Mbowe!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Tunakumbushana tu kwamba kabla maaskofu Watatu na Mufti hawajamfata Mbowe gerezani Makamu Mwenyekiti Tundu Lisu alishapeleka ombi la Freeman Mbowe na Wafungwa wengine wa kisiasa waachiwe

Rais Samia alikutana na Tundu Lisu nchini Ubelgiji na ndipo Tundu Lisu alipomuomba Rais amwachilie Mbowe kwani Chadema haiwezi kufanya mazungumzo yoyote na CCM ilhali Mwenyekiti wao yuko magereza

Mlale unono 😄
 
Tunakumbushana tu kwamba kabla maaskofu Watatu na Mufti hawajamfata Mbowe gerezani Makamu Mwenyekiti Tundu Lisu alishapeleka ombi la Freeman Mbowe na Wafungwa wengine wa kisiasa waachiwe

Rais Samia alikutana na Tundu Lisu nchini Ubelgiji na ndipo Tundu Lisu alipomuomba Rais amwachilie Mbowe kwani Chadema haiwezi kufanya mazungumzo yoyote na CCM ilhali Mwenyekiti wao yuko magereza

Mlale unono 😄

View: https://x.com/IAMartin_/status/1494044141227069444?t=41tqC4Ri7voBSd_kx_ZVSA&s=19
 
Tunakumbushana tu kwamba kabla maaskofu Watatu na Mufti hawajamfata Mbowe gerezani Makamu Mwenyekiti Tundu Lisu alishapeleka ombi la Freeman Mbowe na Wafungwa wengine wa kisiasa waachiwe

Rais Samia alikutana na Tundu Lisu nchini Ubelgiji na ndipo Tundu Lisu alipomuomba Rais amwachilie Mbowe kwani Chadema haiwezi kufanya mazungumzo yoyote na CCM ilhali Mwenyekiti wao yuko magereza

Mlale unono 😄
Una maana Lissu ni chawa wa mama siyo?
 
Tunakumbushana tu kwamba kabla maaskofu Watatu na Mufti hawajamfata Mbowe gerezani Makamu Mwenyekiti Tundu Lisu alishapeleka ombi la Freeman Mbowe na Wafungwa wengine wa kisiasa waachiwe

Rais Samia alikutana na Tundu Lisu nchini Ubelgiji na ndipo Tundu Lisu alipomuomba Rais amwachilie Mbowe kwani Chadema haiwezi kufanya mazungumzo yoyote na CCM ilhali Mwenyekiti wao yuko magereza

Mlale unono 😄
Lkn hakusema aje kuwa chawa
 
Tunakumbushana tu kwamba kabla maaskofu Watatu na Mufti hawajamfata Mbowe gerezani Makamu Mwenyekiti Tundu Lisu alishapeleka ombi la Freeman Mbowe na Wafungwa wengine wa kisiasa waachiwe

Rais Samia alikutana na Tundu Lisu nchini Ubelgiji na ndipo Tundu Lisu alipomuomba Rais amwachilie Mbowe kwani Chadema haiwezi kufanya mazungumzo yoyote na CCM ilhali Mwenyekiti wao yuko magereza

Mlale unono 😄
Point
 
Ahsante sana😄

Hiyo Namba 6 ndio Maridhiano halafu Mwamba Mbowe akayateka peke yake 🐼
Lissu anasema haya yalikuwa ni mapendekezo tu kwenda kwenye maridhiano, aliporudi akakuta hakuna hata document za vikao na mambo waliyokubaliana, wakaanza upya CCM wakakimbia, na bado Mwamba akampa tuzo Mwenyekiti wao.
 
Kama hii ni kweli Mbona huyo Lisu juzi kasema hakuna maridhiano, na hajui walikuwa wanaridhiana nini?

Huyu mtu atakauwa mgonjwa wa akili.

Lisu aanzishe chama chake cha mihemko, abebe na nyomi lake waende huko.
Kwanza sidhani ni sawa kumuita Lissu ana ugonjwa wa akili, siwezi kukuiyta wewe hivyo, sikiliza alichosema na kumwelewa.
 
Back
Top Bottom