Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hii lazima ije na Tanzania kuna watu wanachezea mali za umma kijinga snHii nimeona ni kali zaidi yaani Ruto amebanwa hadi amefuta Bajeti ya Ofisi ya Mke wa Rais
Kwa sasa Gen Z ndio wanatengeneza Sera za Nchi yao, Wazee wamepumzishwa
Kuna hawa hapa pia.Bodaboda mbona umeenda mbali. Wanawekea tamasha la Diamond bila kiingilio na Tshirt zenye sura ya mama kuupiga mwingi. Wakitoka hapo ni mwendo wa mapambio tu.
Sisi hatuwezi hufanya huo ujinga, mke wa Rais ni mtumishi wa umma na ni lazima awe na bajeti yake. Wake wa Marais wastaafu pia ni lazima wawe na Bajeti.
Bado tunaangalia utaratibu mbeleni kama wenza wa wabunge pia na wao wawe wanapata posho wakati waume/ wake zao wanalitumikia taifa Bungeni.
CCM oyeee !!
Hutaki - tangulia Burundi.
Inasikitisha sana,huku watu hali zao zikiwa ngumu huko mtaaniWakati Kenya bajeti ya Ofisi ya Mke wa Rais inafutwa huku Tanzania bajeti ya kuwalipa viinua mgongo, mafao na marupurupu wake za ma-Rais zinaanzishwa.
Kwetu sisi Mbunge wa Mchinga anataka hata wake wa marais wastaafu waongezewe zaidiHii nimeona ni kali zaidi yaani Ruto amebanwa hadi amefuta Bajeti ya Ofisi ya Mke wa Rais
Kwa sasa Gen Z ndio wanatengeneza Sera za Nchi yao, Wazee wamepumzishwa.
---
Rais wa Kenya, William Ruto ameondoa bajeti ya fedha zilizotengwa kwa ajili ya ofisi ya Mke wa Rais, Mke wa Naibu Rais na Mke wa Waziri Kiongozi na amefuta Mashirika 47 ya Serikali na kusitisha safari zisizo za lazima kwa Wafanyakazi wa Serikali pamoja na kuzuia ununuzi wa magari mapya ya Serikali.
Akihutubia Taifa la Kenya leo July 05,2024 Ruto ametangaza kupunguza idadi ya Washauri wake kwa 50% ambapo ameanzisha hatua nyingine kadhaa za kubana matumizi ili kupunguza gharama kubwa ambazo Serikali inaingia na pia amekata bajeti za ukarabati wa majengo ya Serikali kwa 50%.
Ruto pia amesema hakuna Afisa wa Serikali atakayeruhusiwa kushiriki katika shughuli za kuchangisha pesa zinazoendelea na amewaagiza Maafisa wa Serikali kuacha shughuli za hisani, hasa walioonekana wakionyesha pesa nyingi wakati wa hafla za kutoa misaada ambayo imezua taharuki kutoka kwa Wakenya.
Ruto amesema kufuatia mashauriano mapana na wenzake wameafikiana kupunguza gharama mbalimbali zikiwemo kufuta angalau Mashirika 47 ya Serikali yenye vipengele vinavyoingiliana lengo likiwa ni kuboresha huduma za Serikali kwa Wananchi na kuwafanya Wakenya wapate huduma sahihi kutoka Serikalini.
PIA SOMA
- Rais Ruto kushiriki mjadala na Wakenya kwenye X Space, Julai 5 kwa saa tatu
Ila Wa Tz tunatia huruma sanaππππKuna hawa hapa pia.View attachment 3034372
Hao baadhi yao ndio wapo humu wanatusumbua na mabandiko marefu kumsifia Samia ilhali anachofanya ni kazi yake na bado anapwaya kwa kiwango kikubwa kimajukumu..Ila Wa Tz tunatia huruma sanaππππ
Siku yaja vuta subra mabadiliko ni lazima hata kama sio leo hakuna Taifa linaweza kuendeshwa kwa style hiyo Dunia ya sasaWakati Kenya bajeti ya Ofisi ya Mke wa Rais inafutwa huku Tanzania bajeti ya kuwalipa viinua mgongo, mafao na marupurupu wake za ma-Rais zinaanzishwa.
He is not doing that because is scared of them β¦.he is humble and listener presidentβ¦Hii nimeona ni kali zaidi yaani Ruto amebanwa hadi amefuta Bajeti ya Ofisi ya Mke wa Rais
Kwa sasa Gen Z ndio wanatengeneza Sera za Nchi yao, Wazee wamepumzishwa.
---
Rais wa Kenya, William Ruto ameondoa bajeti ya fedha zilizotengwa kwa ajili ya ofisi ya Mke wa Rais, Mke wa Naibu Rais na Mke wa Waziri Kiongozi na amefuta Mashirika 47 ya Serikali na kusitisha safari zisizo za lazima kwa Wafanyakazi wa Serikali pamoja na kuzuia ununuzi wa magari mapya ya Serikali.
Akihutubia Taifa la Kenya leo July 05,2024 Ruto ametangaza kupunguza idadi ya Washauri wake kwa 50% ambapo ameanzisha hatua nyingine kadhaa za kubana matumizi ili kupunguza gharama kubwa ambazo Serikali inaingia na pia amekata bajeti za ukarabati wa majengo ya Serikali kwa 50%.
Ruto pia amesema hakuna Afisa wa Serikali atakayeruhusiwa kushiriki katika shughuli za kuchangisha pesa zinazoendelea na amewaagiza Maafisa wa Serikali kuacha shughuli za hisani, hasa walioonekana wakionyesha pesa nyingi wakati wa hafla za kutoa misaada ambayo imezua taharuki kutoka kwa Wakenya.
Ruto amesema kufuatia mashauriano mapana na wenzake wameafikiana kupunguza gharama mbalimbali zikiwemo kufuta angalau Mashirika 47 ya Serikali yenye vipengele vinavyoingiliana lengo likiwa ni kuboresha huduma za Serikali kwa Wananchi na kuwafanya Wakenya wapate huduma sahihi kutoka Serikalini.
PIA SOMA
- Rais Ruto kushiriki mjadala na Wakenya kwenye X Space, Julai 5 kwa saa tatu
Cc mrangi njoo usome huku GenZ wetu wakata mauno.Gen Z wa Tanzania wanagawiwa bodaboda zenye chapa ya Samia !
Halafu wanasema Samia anaupiga mwingi .
Tuna jamii hopeless sana Yesu anamaind kichiz.Ongezea Mkesha wa July 5 wamejazana kwa Mwoposa leo wanakesha matanga mpaka kunakucha wakisubiri miujiza
πππ Yesu ameshika tamaTuna jamii hopeless sana Yesu anamaind kichiz.
Na wengine wanaimba tu siiindii nasema siindiii nauli yk nakula masela siendi!Huku Gen Z wetu wako bize kukesha kitambaa cheupe wakicheza amapiano.
Ruto kaonesha udhaifu mkubwa, angwachia ngazi tu.Hii nimeona ni kali zaidi yaani Ruto amebanwa hadi amefuta Bajeti ya Ofisi ya Mke wa Rais
Kwa sasa Gen Z ndio wanatengeneza Sera za Nchi yao, Wazee wamepumzishwa.
---
Rais wa Kenya, William Ruto ameondoa bajeti ya fedha zilizotengwa kwa ajili ya ofisi ya Mke wa Rais, Mke wa Naibu Rais na Mke wa Waziri Kiongozi na amefuta Mashirika 47 ya Serikali na kusitisha safari zisizo za lazima kwa Wafanyakazi wa Serikali pamoja na kuzuia ununuzi wa magari mapya ya Serikali.
Akihutubia Taifa la Kenya leo July 05,2024 Ruto ametangaza kupunguza idadi ya Washauri wake kwa 50% ambapo ameanzisha hatua nyingine kadhaa za kubana matumizi ili kupunguza gharama kubwa ambazo Serikali inaingia na pia amekata bajeti za ukarabati wa majengo ya Serikali kwa 50%.
Ruto pia amesema hakuna Afisa wa Serikali atakayeruhusiwa kushiriki katika shughuli za kuchangisha pesa zinazoendelea na amewaagiza Maafisa wa Serikali kuacha shughuli za hisani, hasa walioonekana wakionyesha pesa nyingi wakati wa hafla za kutoa misaada ambayo imezua taharuki kutoka kwa Wakenya.
Ruto amesema kufuatia mashauriano mapana na wenzake wameafikiana kupunguza gharama mbalimbali zikiwemo kufuta angalau Mashirika 47 ya Serikali yenye vipengele vinavyoingiliana lengo likiwa ni kuboresha huduma za Serikali kwa Wananchi na kuwafanya Wakenya wapate huduma sahihi kutoka Serikalini.
PIA SOMA
- Rais Ruto kushiriki mjadala na Wakenya kwenye X Space, Julai 5 kwa saa tatu
Gen Z binadamu, wana elimu, exposure, wanajitambuwa, wanajuwa haki zao, wabongo hatuwawezi kabisa..Hii nimeona ni kali zaidi yaani Ruto amebanwa hadi amefuta Bajeti ya Ofisi ya Mke wa Rais
Kwa sasa Gen Z ndio wanatengeneza Sera za Nchi yao, Wazee wamepumzishwa.
---
Rais wa Kenya, William Ruto ameondoa bajeti ya fedha zilizotengwa kwa ajili ya ofisi ya Mke wa Rais, Mke wa Naibu Rais na Mke wa Waziri Kiongozi na amefuta Mashirika 47 ya Serikali na kusitisha safari zisizo za lazima kwa Wafanyakazi wa Serikali pamoja na kuzuia ununuzi wa magari mapya ya Serikali.
Akihutubia Taifa la Kenya leo July 05,2024 Ruto ametangaza kupunguza idadi ya Washauri wake kwa 50% ambapo ameanzisha hatua nyingine kadhaa za kubana matumizi ili kupunguza gharama kubwa ambazo Serikali inaingia na pia amekata bajeti za ukarabati wa majengo ya Serikali kwa 50%.
Ruto pia amesema hakuna Afisa wa Serikali atakayeruhusiwa kushiriki katika shughuli za kuchangisha pesa zinazoendelea na amewaagiza Maafisa wa Serikali kuacha shughuli za hisani, hasa walioonekana wakionyesha pesa nyingi wakati wa hafla za kutoa misaada ambayo imezua taharuki kutoka kwa Wakenya.
Ruto amesema kufuatia mashauriano mapana na wenzake wameafikiana kupunguza gharama mbalimbali zikiwemo kufuta angalau Mashirika 47 ya Serikali yenye vipengele vinavyoingiliana lengo likiwa ni kuboresha huduma za Serikali kwa Wananchi na kuwafanya Wakenya wapate huduma sahihi kutoka Serikalini.
PIA SOMA
- Rais Ruto kushiriki mjadala na Wakenya kwenye X Space, Julai 5 kwa saa tatu
Wewe Mwislamu umezoea ubabe ubabe kama Alshabaab. Hujui democracy ni nini.Ruto kaonesha udhaifu mkubwa, angwachia ngazi tu.