Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waongeze na mabeki tatu wao hakuna shida tutawalipa wote,sisi ni matajiri, nilimsikia Mwendazake akisema!!Huku kwetu viongozi wetu wamepitisha sheria kuwa tuwalipe wake zao.
Yaani ni sheria ya Bunge kabisa.
Wakenya kuuwana hawajaanza leo,na kila wakipata nafasi ya kuuwana huwa wanauwana kweli!!Wakishauwana sana, Mzee Kiwete yupo tutampeleka akawapooze.
Nakumbuka Kikwete alipokwenda kuwapatanisha wakawacha kuuwana, wakati wa mungiki. Naona sasa wamelianzisha tena.Wakenya kuuwana hawajaanza leo,na kila wakipata nafasi ya kuuwana huwa wanauwana kweli!!
Na mifugo yao pia.Waongeze na mabeki tatu wao hakuna shida tutawalipa wote,sisi ni matajiri, nilimsikia Mwendazake akisema!!
Mkuu na wewe unaweza kuwepo kwenye kundi la Gen Z?Sisi hatuwezi hufanya huo ujinga, mke wa Rais ni mtumishi wa umma na ni lazima awe na bajeti yake. Wake wa Marais wastaafu pia ni lazima wawe na Bajeti.
Bado tunaangalia utaratibu mbeleni kama wenza wa wabunge pia na wao wawe wanapata posho wakati waume/ wake zao wanalitumikia taifa Bungeni.
CCM oyeee !!
Hutaki - tangulia Burundi.
Koffi Anaan ndiye aliyetupatanisha. Kikwete alikuwa tu kama observer. Ni kama vile unapokuwa na mgeni kwa nyumba yako unatengeneza dinner alafu jirani anatokea.Nakumbuka Kikwete alipokwenda kuwapatanisha wakawacha kuuwana, wakati wa mungiki. Naona sasa wamelianzisha tena.
Kikwete yupo watakwenda kuwapatanisha.