Ila Gen Z wanatisha: Rais Ruto afuta Bajeti ya Ofisi ya Mke Wake!

Kama Samia anataka apendwe na watanzania wote basi atimize yaliyopendekezwa na generation z.Maana mambo ya hovyo ambayo wtz hawayataki ndiyo hayo ambayo yameondolewa Kenya.Lakini akiendelea kuziba masikio kama anavyojiita bibi chura kiziwi,ipo siku yatamtokea puani
 
Gen Z wametumia muda mchache sana kuielezea Serikali wanataka nini na wameeleweka.
 
Yes gen Z wa nchi zinazojitambua wa kibongo wameitwa na jokate kwa mkapa na wameitika! Wakitoka hapo wakapige dash na kuzimika. Kweli uchawi upo
 
Huku Gen Z wetu wako bize kukesha kitambaa cheupe wakicheza amapiano.
Kwa bajeti hizi za kuchangiwa changiwa na wahisani, ni ngumu kuendelea muda mrefu kupiga piga raia wakiingia mtaani huku wakiwa na hoja.

Kwa sababu wale jamaa wanaochangia hawataki hizo issue za kupiga raia ovyo, hivyo ukiwazingua utahatarisha huo uchangiaji wao, maana hawakawii kughairi kuchangia

Magufuli (RIP) alipokataa tu watoto waliopata mimba shuleni kurudi shule baada ya kujifungua, ilikuja kuharibu kila kitu, kwani wahisani waligoma bajeti.

Ujue ilipita miaka miwili au zaidi bila Marekani kuchangia bajeti ya vitabu, naye naweza kusema ndiye mmoja wa wachangiaji wakuu wa bajeti ya vitabu mashuleni, hata kwa kiada na ziada.

Kwa hiyo miaka miwili hakuna kitabu cha kiada wala ziada kilichoenda mashuleni.

Ova
 
Asante kwa elimu hii b...
 
Nasema hivi, japo tuangalie tu maudhui ya mada zinazoletwa humu JF
Ndio tutajua kama hata hao Gen Z tunao au tumebarikiwa na mbululas
 
He is not doing that because is scared of them ….he is humble and listener president…
He didnt listen when they were planning this, until youth took it to the streets. So without pressure there is no change
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…