Ila hapa Wenje jamaa yetu lakini alikosea. Alimnyima Dereva wake hata Million 1? Hata mimi ngeacha kazi

Ila hapa Wenje jamaa yetu lakini alikosea. Alimnyima Dereva wake hata Million 1? Hata mimi ngeacha kazi

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Hayo yamesemwa jana CH. Dereva wa Wenje alikasirika na kuamua kuacha kazi baada ya kuona Boss wake hana utu. Yaani lile fuko ambalo alikabidhiwa na Abdul alishindwa hata kuchomoa milion 1 akampa dereva?

Lissu alileta mapozi. Akazikataa pesa. Ukisusa wenzio wanakula. Hata mimi ngekuwa Wenje na uhuu upwiru ngechukua tu. Lakini alikosea sana. Dereva mpo naye na anasikia hizo deals zote. Mnashindwa mpa hata Kamilion 1? Dereva aliona fuko la ndarama limeachwa kwa Wenje akagawane na wenzie.

Yeye akitegemea pia angaa angeshikwa mkono hata na kidogo. Akaambulia patupu? Kwa hasira akaacha kazi. Na sasa anasema kama atabishiwa au kukanushwa atayasema mengi zaidi.

Tusiwe tunawasahau hawa madogo nao wana mchango kwenye issues zetu.
 
Huu upambe mnaoufanya mnaweza kudhani mnawaribia hao wagombea, awe Mbowe, Lisu, Wenje au Heche ukweli CHADEMA mnazidi kuifanya ipoteze imani kwa wananchi, hiki mnachokifanya kwa ajili ya huu uchaguzi wa ndani itawagharimu sana kufanya usafi hapo badae
 
Unapocheka leo usisahau kesho kuna kulia. Tungefanya kampeni zisizo na matope na kuharibu sura ya chama ingekuwa nzuri zaidi
 
Hayo yamesemwa jana CH. Dereva wa Wenje alikasirika na kuamua kuacha kazi baada ya kuona Boss wake hana utu. Yaani lile fuko ambalo alikabidhiwa na Abdul alishindwa hata kuchomoa milion 1 akampa dereva?

Lissu alileta mapozi. Akazikataa pesa. Ukisusa wenzio wanakula. Hata mimi ngekuwa Wenje na uhuu upwiru ngechukua tu. Lakini alikosea sana. Dereva mpo naye na anasikia hizo deals zote. Mnashindwa mpa hata Kamilion 1? Dereva aliona fuko la ndarama limeachwa kwa Wenje akagawane na wenzie.

Yeye akitegemea pia angaa angeshikwa mkono hata na kidogo. Akaambulia patupu? Kwa hasira akaacha kazi. Na sasa anasema kama atabishiwa au kukanushwa atayasema mengi zaidi.

Tusiwe tunawasahau hawa madogo nao wana mchango kwenye issues zetu.
Watamuua huyo Dere akae kitalaamu.
 
Back
Top Bottom