EDIGAR JO
JF-Expert Member
- May 6, 2024
- 422
- 444
Mtoto ulimlea mwenyewe kwa kutshughulisha na akija chuo na akapewa fedha za kujikimu unaona kana kwamba shida zimeisha .
Mfano
★Anaenda hana nguo za kumtosha
★Hana simu janja wala PC
★Anaenda hana fedha ya hakiba .
Na bado haitoshi gharama za bima na malipo mengine ayafanye yeye kwa kigezo anamkopo.
Mimi Nadhani watanzania mliosoma muwashauri wazazi hawa .
Kwanza hata wanaosoma na kumaliza Kiukweli huwa hawawezi wakawa washindani wa wenzao maana hisia za unyonge na za kukosa fedha zipo ndani yao siku zote amani wataitoa wapi w.
Au nyie wakina ndugu mnashaurije jambo hili ????
Naomba msituweke sisi mission town gentlemens
Mfano
★Anaenda hana nguo za kumtosha
★Hana simu janja wala PC
★Anaenda hana fedha ya hakiba .
Na bado haitoshi gharama za bima na malipo mengine ayafanye yeye kwa kigezo anamkopo.
Mimi Nadhani watanzania mliosoma muwashauri wazazi hawa .
Kwanza hata wanaosoma na kumaliza Kiukweli huwa hawawezi wakawa washindani wa wenzao maana hisia za unyonge na za kukosa fedha zipo ndani yao siku zote amani wataitoa wapi w.
Au nyie wakina ndugu mnashaurije jambo hili ????
Naomba msituweke sisi mission town gentlemens