Ila huyu dada mzuri ndugu zangu

Ila huyu dada mzuri ndugu zangu

Huyo ukimuona bila make up utampa shikamoo nakwambia
 
Haijawahi tokea....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmesababisha niwe ignored mazima jamni humu ndani ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ignored na nani? Wee mbona hujiaminii?
Unakwama wapiiiii??
 
Ama kweli uzuri upo machoni mwa atazamaye!

Hapo mie nikiangalia naliona jimama lenye mashavu makubwa na kishundu mbinuko.

Kuanzia leo mimi sio shangazi tena, natangaza rasmi kujiuzulu.

How come this FAT PIG is considered sexy and beautiful?

Cc Lamomy Poor Brain cocastic Extrovert mshamba_hachekwi
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hawajui wewe pisi ya kwendea tatizo wanakuchukulia pouwa..!! Em wapige na liselfie moja waone ulivyobarikiwa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hawajui wewe pisi ya kwendea tatizo wanakuchukulia pouwa..!! Em wapige na liselfie moja waone ulivyobarikiwa
Heheheheee mie ndo shangazi mwenye sambwanda lake mjini.

Ngoja nijifotoee niwachachue wasionipenda πŸ˜ΉπŸ˜ΉπŸ™Œ
 
Heheheheee mie ndo shangazi mwenye sambwanda lake mjini.

Ngoja nijifotoee niwachachue wasionipenda πŸ˜ΉπŸ˜ΉπŸ™Œ
Treeeeeenahhh!!! Wizo wangu mwenye msambwanda wake mjini JF πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Tupia em kwanza ushtue raia
 
Back
Top Bottom