Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
BICHWA KOMWE - kuna mda akitulia mbona utamkubali aiseeeee πππππππManeno magumu sana hayo Mkuu, komwe katema nyongo ππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BICHWA KOMWE - kuna mda akitulia mbona utamkubali aiseeeee πππππππManeno magumu sana hayo Mkuu, komwe katema nyongo ππ
Ka mind sana bibie kuwa mshangazi ππBICHWA KOMWE - kuna mda akitulia mbona utamkubali aiseeeee πππππππ
Mwache Mondi afaidi naye mtu jamaniStar wa nyimbo za gospel Christina Shusho dada anaonekana mtamu huyu sijui yule jamaa ake alifeli wapi.
View attachment 2982613
πππππππππ AiseeeeeeeeKa mind sana bibie kuwa mshangazi ππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ignored na nani? Wee mbona hujiaminii?Haijawahi tokea....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmesababisha niwe ignored mazima jamni humu ndani ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We jamaa mbingu utaisikia tu π€£Star wa nyimbo za gospel Christina Shusho dada anaonekana mtamu huyu sijui yule jamaa ake alifeli wapi.
View attachment 2982613
ππππππNajiamini sana mbona..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ignored na nani? Wee mbona hujiaminii?
Unakwama wapiiiii??
ππππ hawajui wewe pisi ya kwendea tatizo wanakuchukulia pouwa..!! Em wapige na liselfie moja waone ulivyobarikiwaAma kweli uzuri upo machoni mwa atazamaye!
Hapo mie nikiangalia naliona jimama lenye mashavu makubwa na kishundu mbinuko.
Kuanzia leo mimi sio shangazi tena, natangaza rasmi kujiuzulu.
How come this FAT PIG is considered sexy and beautiful?
Cc Lamomy Poor Brain cocastic Extrovert mshamba_hachekwi
Heheheheee mie ndo shangazi mwenye sambwanda lake mjini.ππππ hawajui wewe pisi ya kwendea tatizo wanakuchukulia pouwa..!! Em wapige na liselfie moja waone ulivyobarikiwa
Treeeeeenahhh!!! Wizo wangu mwenye msambwanda wake mjini JF πππHeheheheee mie ndo shangazi mwenye sambwanda lake mjini.
Ngoja nijifotoee niwachachue wasionipenda πΉπΉπ