Ila huyu dada mzuri ndugu zangu

Huyo ukimuona bila make up utampa shikamoo nakwambia
 
Haijawahi tokea....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmesababisha niwe ignored mazima jamni humu ndani ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ignored na nani? Wee mbona hujiaminii?
Unakwama wapiiiii??
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hawajui wewe pisi ya kwendea tatizo wanakuchukulia pouwa..!! Em wapige na liselfie moja waone ulivyobarikiwa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hawajui wewe pisi ya kwendea tatizo wanakuchukulia pouwa..!! Em wapige na liselfie moja waone ulivyobarikiwa
Heheheheee mie ndo shangazi mwenye sambwanda lake mjini.

Ngoja nijifotoee niwachachue wasionipenda πŸ˜ΉπŸ˜ΉπŸ™Œ
 
Heheheheee mie ndo shangazi mwenye sambwanda lake mjini.

Ngoja nijifotoee niwachachue wasionipenda πŸ˜ΉπŸ˜ΉπŸ™Œ
Treeeeeenahhh!!! Wizo wangu mwenye msambwanda wake mjini JF πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Tupia em kwanza ushtue raia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…