Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
HeheheHahahahh...
Kama kuna jamaa alisema humu anafanya kazi NASA unafikiri hacker atakosekana..
😃😃😀😀 Na Kuna yule jamaa alisema yeye ni mkuu wa mkoaHahahahh...
Kama kuna jamaa alisema humu anafanya kazi NASA unafikiri hacker atakosekana..
Ishi maisha yako mkuu nimekuelewa una maana ganiKuna mwamba kauliza jana "hivi wenzangu mnawezaje kupiga bao tatu wakati mimi moja inatosha tu na huwa inakinai"
Hii yote ni kutokana na mwamba kusoma posts nyingi humu kila mtu anajisifia kwenda hadi round nne😂
Yani humu JF kila mtu ni tajiri.
Ana nguvu za kiume
Kila mdada humu ni under 30
Kila mtu mwanasaikolojia
Kila mtu mhariri wa nyuzi
Sasa hivi kila mtu anaanza kuwa atheist, kila mtu anaamua kukataa ndoa, etc
Ila JF hahah, anyway maisha yaendeelee😂
Damn...you are soo good. Au kwakuwa sisi wanaume tuna colour blindness?..umenikumbusha Album ya CB indigo before that sikujua kama there was a colour called indigo...Burgundy Pink
Coral Pink
Mustard Yellow
Pale Yellow / pastel yellow.
😃😀😀😀😂😂😂
Kuna yule jamaa alisemaga yeye kila demu anaetembea nae anapata bahati sasa kuna mmoja kamchukiza sasa hadi kabiashara kake kamegoma😂😂😂😂😂 ila JF mwanangu!!
So she used AI? nlitaka kushangaa how do you know those coloursSay thanks to AI
Ni yeye sio mimihow do you know those colours
Vincenzo Jr 😂😂 mwingine huyu hapaIshi maisha yako mkuu nimekuelewa una maana gani
Humu wanachekesha sana 😃😃😀😀Vincenzo Jr 😂😂 mwingine huyu hapa
We acha tu kiongozi..Hahahah alimaanisha nasa ginery iliopo mwanza😂😂
Yani hizo ni rangi nne tu sasa naachaje kuzijua?So she used AI? nlitaka kushangaa how do you know those colours
HeheheYani hizo ni rangi nne tu sasa naachaje kuzijua?
Na kwani hamkufundishwa kuchanganya rangi shuleni na kuzidescribe?
Hata ningefundishwa nisingejua kitu...i know blue, yellow , black, white, green, red and pink basi, other colours don't click in my head..Yani hizo ni rangi nne tu sasa naachaje kuzijua?
Na kwani hamkufundishwa kuchanganya rangi shuleni na kuzidescribe?
Mbona mnataka mambo marahisi yawe magumu 😅
Mimi hata hiyo pink siijuiHata ningefundishwa nisingejua kitu...i know blue, yellow , black, white, green, red and pink basi, other colours don't click in my head..
Hata hizo ukichanganywa kidogo tu utatoka kapa, labda ambayo huwezi toka kapa ni black & white.Hata ningefundishwa nisingejua kitu...i know blue, yellow , black, white, green, red and pink basi, other colours don't click in my head..