Ila JF bwana!

Ila JF bwana!

Kuna mwamba kauliza jana "hivi wenzangu mnawezaje kupiga bao tatu wakati mimi moja inatosha tu na huwa inakinai"

Hii yote ni kutokana na mwamba kusoma posts nyingi humu kila mtu anajisifia kwenda hadi round nne😂

Yani humu JF kila mtu ni tajiri.
Ana nguvu za kiume
Kila mdada humu ni under 30
Kila mtu mwanasaikolojia
Kila mtu mhariri wa nyuzi

Sasa hivi kila mtu anaanza kuwa atheist, kila mtu anaamua kukataa ndoa, etc

Ila JF hahah, anyway maisha yaendeelee😂
Ishi maisha yako mkuu nimekuelewa una maana gani
 
Yani hizo ni rangi nne tu sasa naachaje kuzijua?

Na kwani hamkufundishwa kuchanganya rangi shuleni na kuzidescribe?

Mbona mnataka mambo marahisi yawe magumu 😅
Hata ningefundishwa nisingejua kitu...i know blue, yellow , black, white, green, red and pink basi, other colours don't click in my head..
 
Girls wengi wanaadmit kua wako above 30 mkuu, usiwaonee.

Zamani hata mimi nilikua naamini yanayoongelewa humu na kwakweli unaweza kujiona khanithi kama unapiga round 2, watu ni waongo aisee.

Kuna mwamba alichakata hadi msukule dadeki.
 
Hata ningefundishwa nisingejua kitu...i know blue, yellow , black, white, green, red and pink basi, other colours don't click in my head..
Hata hizo ukichanganywa kidogo tu utatoka kapa, labda ambayo huwezi toka kapa ni black & white.
Hizo sijui green, blue & yellow huwa zina marafiki wanaofanana fanafana kama wakina dark blue
 
Back
Top Bottom