Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
For sureHata hizo ukichanganywa kidogo tu utatoka kapa, labda ambayo huwezi toka kapa ni black & white.
Hizo sijui green, blue & yellow huwa zina marafiki wanaofanana fanafana kama wakina dark blue
Kwani wewe unatakaje? Acha ujuwaji kuwa unavyotaka.Kuna mwamba kauliza jana "hivi wenzangu mnawezaje kupiga bao tatu wakati mimi moja inatosha tu na huwa inakinai"
Hii yote ni kutokana na mwamba kusoma posts nyingi humu kila mtu anajisifia kwenda hadi round nneπ
Yani humu JF kila mtu ni tajiri.
Ana nguvu za kiume
Kila mdada humu ni under 30
Kila mtu mwanasaikolojia
Kila mtu mhariri wa nyuzi
Sasa hivi kila mtu anaanza kuwa atheist, kila mtu anaamua kukataa ndoa, etc
Ila JF hahah, anyway maisha yaendeeleeπ
Na we unatakajeKwani wewe unatakaje? Acha ujuwaji kuwa unavyotaka.
Yameshawakuta humu. Kama umewahi kutafunwa mguu na nyoka, siku jaribu kupita kwenye kichaka halafu Jani likuguse, ndo utaelewa.Nimecheka kwa sauti sana π€£ π€£ π€£
Kwanini hamuamini wanawake tupo JF na tunaweza kujipambanua kama nyie vidume tu.
Humu watu wana uhuru wa kupost wanachojisikia, ilimradi wasivunje Sheria za mtandao na Kuna ban humu Kama ukizingua.Na we unatakaje
Sawa bhanaHumu watu wana uhuru wa kupost wanachojisikia, ilimradi wasivunje Sheria za mtandao na Kuna ban humu Kama ukizingua.
Fanya yako mengine waachie moderator. Ni ushauri tu usikubali kuwa mpumbavu.
Hehehe ndo mana amemaindi kinomaHuyu ndio wale "nikiwa nina drive" kumbe ana kabaiskeli kake amebeba ndizi kuzipeleka stendi ya mabasi.
πππππ noma kuna siku nimeona rangi kama pink jamaa akasema sio pink ni mauve Yan mauve yenyewe ni rangi ? Mbona hatukufundishwa ? HatariHata hizo ukichanganywa kidogo tu utatoka kapa, labda ambayo huwezi toka kapa ni black & white.
Hizo sijui green, blue & yellow huwa zina marafiki wanaofanana fanafana kama wakina dark blue
π€£π€£π€£π€£Kuna mwamba kauliza jana "hivi wenzangu mnawezaje kupiga bao tatu wakati mimi moja inatosha tu na huwa inakinai"
Hii yote ni kutokana na mwamba kusoma posts nyingi humu kila mtu anajisifia kwenda hadi round nneπ
Yani humu JF kila mtu ni tajiri.
Ana nguvu za kiume
Kila mdada humu ni under 30
Kila mtu mwanasaikolojia
Kila mtu mhariri wa nyuzi
Sasa hivi kila mtu anaanza kuwa atheist, kila mtu anaamua kukataa ndoa, etc
Ila JF hahah, anyway maisha yaendeeleeπ
Hahahahahaπππππππππππππππ
Mara oooh, nimechaguliwa kwenda jumatatu kuwaangusha m23 alafu juma tano yake anapost picha za mademu wwnye makalio makubwa uzi wa waremboππ
Kuna mwamba kauliza jana "hivi wenzangu mnawezaje kupiga bao tatu wakati mimi moja inatosha tu na huwa inakinai"
Hii yote ni kutokana na mwamba kusoma posts nyingi humu kila mtu anajisifia kwenda hadi round nneπ
Yani humu JF kila mtu ni tajiri.
Ana nguvu za kiume
Kila mdada humu ni under 30
Kila mtu mwanasaikolojia
Kila mtu mhariri wa nyuzi
Sasa hivi kila mtu anaanza kuwa atheist, kila mtu anaamua kukataa ndoa, etc
Ila JF hahah, anyway maisha yaendeeleeπ
We ni bro!Siyo kweli, mimi ni mshangazi over 30 na I'm proud of my age.
Ila, JF ili inoge lazima vi-exaggeration flani viwepo tu.
Safi sana mi nilivyokuona unaongea peke yako nilijua utafika mbaliKuwa masikini jf ni kujitakia, hio ndege nanunua mwezi ujao dua zenu wakuu...
Nimepeleka fundi tayari wamefanya inspection, wamefanya test flight, nime negotiate bei, nimesha consult na legal na financial advisors... kilichobaki ni kuileta bongo tu..
Dah naonba link ya hivho kisa nikisomeKuna yule jamaa aliesema allitisha malaya kutoka telegram akashangaa kumuona ndugu yake ila akachapa hivyo hivyo πππ₯
Mafuso!Tajiri wa mafuso wewe