Ila JF bwana!

Ila JF bwana!

Kuna mwamba kauliza jana "hivi wenzangu mnawezaje kupiga bao tatu wakati mimi moja inatosha tu na huwa inakinai"

Hii yote ni kutokana na mwamba kusoma posts nyingi humu kila mtu anajisifia kwenda hadi round nne😂

Yani humu JF kila mtu ni tajiri.
Ana nguvu za kiume
Kila mdada humu ni under 30
Kila mtu mwanasaikolojia
Kila mtu mhariri wa nyuzi

Sasa hivi kila mtu anaanza kuwa atheist, kila mtu anaamua kukataa ndoa, etc

Ila JF hahah, anyway maisha yaendeelee😂
Kwani wewe unatakaje? Acha ujuwaji kuwa unavyotaka.
 
Na we unatakaje
Humu watu wana uhuru wa kupost wanachojisikia, ilimradi wasivunje Sheria za mtandao na Kuna ban humu Kama ukizingua.

Fanya yako mengine waachie moderator. Ni ushauri tu usikubali kuwa mpumbavu.
 
Humu watu wana uhuru wa kupost wanachojisikia, ilimradi wasivunje Sheria za mtandao na Kuna ban humu Kama ukizingua.

Fanya yako mengine waachie moderator. Ni ushauri tu usikubali kuwa mpumbavu.
Sawa bhana
 
Hata hizo ukichanganywa kidogo tu utatoka kapa, labda ambayo huwezi toka kapa ni black & white.
Hizo sijui green, blue & yellow huwa zina marafiki wanaofanana fanafana kama wakina dark blue
😂😂😂😂😂 noma kuna siku nimeona rangi kama pink jamaa akasema sio pink ni mauve Yan mauve yenyewe ni rangi ? Mbona hatukufundishwa ? Hatari
 
Kuna mwamba kauliza jana "hivi wenzangu mnawezaje kupiga bao tatu wakati mimi moja inatosha tu na huwa inakinai"

Hii yote ni kutokana na mwamba kusoma posts nyingi humu kila mtu anajisifia kwenda hadi round nne😂

Yani humu JF kila mtu ni tajiri.
Ana nguvu za kiume
Kila mdada humu ni under 30
Kila mtu mwanasaikolojia
Kila mtu mhariri wa nyuzi

Sasa hivi kila mtu anaanza kuwa atheist, kila mtu anaamua kukataa ndoa, etc

Ila JF hahah, anyway maisha yaendeelee😂
🤣🤣🤣🤣
 
😂😂😂😁😂😁😁😁😁😁😁😁😁😂😂

Mara oooh, nimechaguliwa kwenda jumatatu kuwaangusha m23 alafu juma tano yake anapost picha za mademu wwnye makalio makubwa uzi wa warembo😂😂
Hahahahaha
 
Kuna mwamba kauliza jana "hivi wenzangu mnawezaje kupiga bao tatu wakati mimi moja inatosha tu na huwa inakinai"

Hii yote ni kutokana na mwamba kusoma posts nyingi humu kila mtu anajisifia kwenda hadi round nne😂

Yani humu JF kila mtu ni tajiri.
Ana nguvu za kiume
Kila mdada humu ni under 30
Kila mtu mwanasaikolojia
Kila mtu mhariri wa nyuzi

Sasa hivi kila mtu anaanza kuwa atheist, kila mtu anaamua kukataa ndoa, etc

Ila JF hahah, anyway maisha yaendeelee😂

Nothing serious hapa mkuu, chukulia kama social media zingine tu unakuwepo maisha na muda uende😛😛
 
Kuwa masikini jf ni kujitakia, hio ndege nanunua mwezi ujao dua zenu wakuu...
Nimepeleka fundi tayari wamefanya inspection, wamefanya test flight, nime negotiate bei, nimesha consult na legal na financial advisors... kilichobaki ni kuileta bongo tu..
34-gallery-1.jpg
Safi sana mi nilivyokuona unaongea peke yako nilijua utafika mbali
 
Back
Top Bottom