Ila JF bwana!

Nilichokigundua humu Kuna team tatu

1. Wavamia nyuzi kukoment Hawa asilimia kubwa si wa kuwaamini ni wababishaji much know haswa wanaonifanya Kila kitu wanakijua ni wataalam wa kukosoa Kila jambo

.2. wapeda ku like na kupita kimya
Hawa wanalike either comments zitakazokuwa zimewavutia ama wengine watalike kuonesha sapoti wamepita

3. Wapita kimya kimya
Hawa wapi wengi wapita kimya watasoma nyuzi kmya kmya wateendelea na mambo yao.. Hawa baadhi yao wakivutiwa na mada ama komenti Yako watakuzamia pm kukuomba ufafanuzi ama maelekezo

Humu kumejaa Kila aina ya watu. Kuna mashoga, matapeli vibaka, watu wema, matajiri, jobless, majambazi, wasiojulikana, slay queens, gold diggers n.k so take care mazee
 
Kila mtu humu ni jasusi. Watu wa vitengo
 
Well said
 
Well said
Mkuu hum Kuna uchafu mwingi imagine mtu anakufata pm anakuomba ushauri flani then anakutaka mhamie Whatsapp unampa namba then atakuchek halafu Hana hata Cha maana kukwambia atajichatisha wee then atakutumia picha ya uboo halafu huyo ni member kbs mashuhuri akiwa hapa jamvini
 
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!!
 
Tobaaaaaa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…