Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Ukipita nayo kwenye shimo si umeua? Hizi ni akili mbovu za wasomi wetu.Kwa kijijini this is a life saver, usibeze
Hapo bado vumbi kimbunga na mvua..unamfiksha mgonjwa marehemuKwa kijijini this is a life saver, usibeze
Na ukikuta dreva kanyoa kiduku jua mgonjwa atafikia kwenye chumba cha kuhifadhia miiliHapo bado vumbi kimbunga na mvua..unamfiksha mgonjwa marehemu
😅😅Hapo bado vumbi kimbunga na mvua..unamfiksha mgonjwa marehemu
Ila bajaji unapanda!?..mazingira ya kijijini unayajua!?..au unadhani Kuna barabara Kama za magomeni!?..kupata hiyo ambulance na kutopata kabisa ili mgonjwa apande tela la kuvutwa na ng'ombe,ipo Bora!?Sio dharau, huu ni ukweli, huwezi ukamdharau mwanadamu hivi.
Alichokifanya JPM ndiyo kilipaswa kifanyike sio huu mradi wa kuwahisha watu ahera.Ila bajaji unapanda!?..mazingira ya kijijini unayajua!?..au unadhani Kuna barabara Kama za magomeni!?..kupata hiyo ambulance na kutopata kabisa ili mgonjwa apande tela la kuvutwa na ng'ombe,ipo Bora!?
kuwa na nidhamu watu wameokolewa maisha unaleta dhihaka hapa ,ni kama power tiller unafahamu zimesaidia wangapiMzee hivi Bei Elekezi ya huu mradi ilikuwaje?
Usishangae kutajiwa bei yake ni million 40 au 50 yaani ufisadi wanaoufanya CCM siku ya mwisho mungu atawachoma Moto hawa watu na Sisi tutakua pembeni tunashangiliaHaiwezekani mwanadamu mwenye utu akanunua ambulence ya dizaini hii na kuzigawa vijijini, huu ni uuaji serikali ya awamu ya nne ilifanya.
Mara 100 JPM aliyejenga zahabati, vituo vya afya na hospitali kila kona, akaboresha hospitali za kanda zote.
Hizi ambulance za pikipiki ukipata dreva aliyenyoa kiduku wewe ni mortuary moja kwamoja bila kupepesa macho.
View attachment 2643889
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Daniel Ole Njoolay akijaribu ambulance(Pikipiki ya Miguu Mitatu) kwa Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Dr. Rajab Rutengwe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo bado vumbi kimbunga na mvua..unamfiksha mgonjwa marehemu
Yule ni rais wa hovyo aliyewahi kutokea duniani. Hata akina Amin na Bokassa walikuwa bora kuliko yeye.Haiwezekani mwanadamu mwenye utu akanunua ambulence ya dizaini hii na kuzigawa vijijini, huu ni uuaji serikali ya awamu ya nne ilifanya.
Mara 100 JPM aliyejenga zahabati, vituo vya afya na hospitali kila kona, akaboresha hospitali za kanda zote.
Hizi ambulance za pikipiki ukipata dreva aliyenyoa kiduku wewe ni mortuary moja kwamoja bila kupepesa macho.
View attachment 2643889
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Daniel Ole Njoolay akijaribu ambulance(Pikipiki ya Miguu Mitatu) kwa Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Dr. Rajab Rutengwe.
Hii nchi imepitia mengi sana aisee.Haiwezekani mwanadamu mwenye utu akanunua ambulence ya dizaini hii na kuzigawa vijijini, huu ni uuaji serikali ya awamu ya nne ilifanya.
Mara 100 JPM aliyejenga zahabati, vituo vya afya na hospitali kila kona, akaboresha hospitali za kanda zote.
Hizi ambulance za pikipiki ukipata dreva aliyenyoa kiduku wewe ni mortuary moja kwamoja bila kupepesa macho.
View attachment 2643889
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Daniel Ole Njoolay akijaribu ambulance(Pikipiki ya Miguu Mitatu) kwa Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Dr. Rajab Rutengwe.