GreenLight
JF-Expert Member
- Oct 27, 2023
- 300
- 542
- Thread starter
- #21
Hakika tumpotezee tuMsihangaike nae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika tumpotezee tuMsihangaike nae
Apewe tuzo ya mr dislikeSidhani kama kuna haja ya kumuongelea, hii ni post ya tatu sasa naona inamuhusu yeye.
Anataka fame tu. Tunavyomuongelea ndio tunampa Sifa.
Wapi na wapi. Kanilima dislike kila nilipo reply ndio nikafikiria huyu jamaa ana shida gani. Kupitia nyuz kadhaa nikaona kumbe na wengine anawalamba dislike.Umeamua kujianzishia uzi baada ya kukosa attention uliyoitaka
Anampa Attention Bure Kumuanzishia ThreadHata hi ata dislike[emoji23]
Afu kumbe mi ke.Lazima asogeze kawowowo kake kuja ku-dislike.
Ok. Kumbe nimempa airtimeAmefanya hivyo ili mumtaje na kukuza jina lake kama hivi.....cha kufanya ni kutulia tu bila kumjali
Acha upuuzi basi wewe dada. Nitafute umaarufu hapa nalipwa..?Iko hivyo...kaja kujitekenya
Wapi na wapi. Kanilima dislike kila nilipo reply ndio nikafikiria huyu jamaa ana shida gani. Kupitia nyuz kadhaa nikaona kumbe na wengine anawalamba dislike.
Acha upuuzi basi wewe dada. Nitafute umaarufu hapa nalipwa..?
Anaharibu mtazamo wa maoni ya wenzake. Ku dislike ni sawa na kumpinga mtu hoja yake bila sababu za msingiSi ndio nakushangaa unatafuta umaarufu JF ili iweje?
Dislike nalo ni jambo la kuanzisha uzi kama sio kujipigia promo...Dislikes wewe zinakupunguzia nini katika maisha yako ya kila siku?
Anaharibu mtazamo wa maoni ya wenzake. Ku dislike ni sawa na kumpinga mtu hoja yake bila sababu za msingi
😃😃 anatoa dislike mpaka kwenye thread za 2007 ukoLeo nimeamka Nikakuta notifications kama 20 hivi za jf, kucheki ni dislike tupu za Mdudu wa bunju 😀😀
Aisee hadi mvua iishe tutaona mengi, watu wanaamka na visirani😀😀😃😃 anatoa dislike mpaka kwenye thread za 2007 uko
Ako na mental case uyoAisee hadi mvua iishe tutaona mengi, watu wanaamka na visirani😀😀
😂😂Aisee hadi mvua iishe tutaona mengi, watu wanaamka na visirani😀😀
Mtu anasambaza dislikes tangu comment ya kwanza ulivyojiunga Jf😀😀🙌
Ooh ndiyo kaja na Id nyingine, sasa Id nyingine then tabia zile zile si atakula ban nyingine tena🏃♀️Kashapigwa banned 😂😁🤣
Ila wangepunguza ukali wa maisha watu wanapagawa eti aiseeHee nimeona Dislikes nikajua kuna mwingine kavurugwa, kumbe ni yeye😀😀