toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
ππππKipindi cha mvua hiki...
π‘π‘π‘ huwa yanacheza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππKipindi cha mvua hiki...
π‘π‘π‘ huwa yanacheza
πππππBinafsi niliona mama ni bora kuliko Jiwe, ila kwa kumleta Bashite aisee sina hata la kusema
SawaSasa kwenye maisha yako unategemea kila mtu akubaliane na hoja/maoni yako?
Anayedislike yuko sawa kwa upande wake kama anayelike
Wamemgonga banNimemtag akipita hapa atachafua na dislike zake
ππππππLeo nimeamka Nikakuta notifications kama 20 hivi za jf, kucheki ni dislike tupu za Mdudu wa bunju ππ
Wakuu wazima nyie
Kuna jamaa humu ndani ananishangaza sana yaani yeye kila post ana dislike. Huyu jamaa anajiita sijui mdudu gani hapo. Kila uzi yeye reaction yake ni dislike tu. Huyu mwamba atakua iblis labda.
Jamaa anajiita Mdudu wa bunju
Ongezeni wenye tabia kama ya huyu mwamba mzee wa dislike
Itakua kweli. Maana hakuna jema kwakeNi haki yake ya kikatiba, kuna watu wana stress eti, ana enjoy kufanya hivyo
Alinitembezeq dislike kwenye kila reply yangu haah nikajistukia ndio nikamchungulia reaction yake kwa kila mtu kumbe ni hyo hyo.Leo nimeamka Nikakuta notifications kama 20 hivi za jf, kucheki ni dislike tupu za Mdudu wa bunju ππ
Wa mpige bann tu anatuvunja moyoKashapigwa banned π«π€£π€£π€£
Ana chuki ya asilia nadhani. Hata jambo la kuchekesha yeye dislikeKuna watu huzaliwa ili wengine tujufunze kitu toka kwao bila kujali ni kizuri au kibaya, huyu ni machuki, watu wenye chuki na kitu cha mtu au mtu mwenyewe bila sababu ya msingi yani basi tu.
πππ tuseme..??Kipindi cha mvua hiki...
π‘π‘π‘ huwa yanacheza
Wamlime bann. Nilijistukia kukuta dislike zaidi ya 10 za mtu mmojaMods mngemuacha tu atukomeshe hivo hivo(funny)
Ndio huyo huyo kumbe kuna uzi mwingine tena. Watu katutoa kwenye utulivu. Huwez mpatia mtu dislike 10 afu uwe mtu wa kawaida ana shidaItakua ndo huyu
Kuna member mpya anaitwa Mdudu kutokea huko bunju. Je ana shida gani?
Ni vyema akaziweka wazi shida zake humu ili apate msaada. Kwani kila nikifungua nyuzi nakutana na vidude vyekundu vya kukerawww.jamiiforums.com
Heeeh π€£π€£π€£Binafsi niliona mama ni bora kuliko Jiwe, ila kwa kumleta Bashite aisee sina hata la kusema
Hatari sana mi nikaishia kucheka tuπWamlime bann. Nilijistukia kukuta dislike zaidi ya 10 za mtu mmoja
Anapiga dislike mpaka warembo km weweHatari sana mi nikaishia kucheka tuπ
Hamna cha mrembo wala bro wote dislikes tuπAnapiga dislike mpaka warembo km wewe