Ila kutapeliwa kunauma wakuu

Wewe ni mpuuzi tu tena sana...
Unaibiwaje kipuuzi hvyo kama mtoto wa pre unit...💩 Yaani inaonekana hata maisha yako huwezi kuyasimamia yakaenda...
Sio uchawi na hujarogwa bali waliona una akili ndogo
 
 
 
Pole…

Tumia hii formula, Muda wako ni kitu cha thamani sana, usikubali mtu autumie hovyo.. nasema kuwa mtu asikusimamishe barabarani kuanza kukuambia chake.

By not giving people your time, utaepuka a lot of nonsense.
 
 
Kutapeliwa kuna uma sana kuna mpuuzi alitakaga kunitapeli 10,000 ilibaki kidogo nimtumie nikapiga hesabu zangu calculation ya mwisho inanionyesha kabisa napigwa unaambiwa ile ten siku ile nilii-minus kwa kupiga Pepsi za kutosha
Aiseee 🤣 matapeli sio watu wazuri kabisaaa
 
Wewe ni mpuuzi tu tena sana...
Unaibiwaje kipuuzi hvyo kama mtoto wa pre unit...💩 Yaani inaonekana hata maisha yako huwezi kuyasimamia yakaenda...
Sio uchawi na hujarogwa bali waliona una akili ndogo
YEah for real niko na akili ndogo sana
 
Pole. Ila hujatapeliwa. Wewe umewapa pesa za bure. Kifupi tu, wewe ni mjinga wa kiwango cha SGR.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…